Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJANGA NIGERIA: MLIPUKO MWINGINE WAUA 18, WENGINE 19 WAKIJERUHIWA

WATU 18 wamepoteza maisha huku zaidi ya 19 wakijeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea mji wa Mubi nchini Nigeria jana jioni. Polisi nchini humo wamethibitisha kutokea kwa mlipuko huo. Inadaiwa kuwa mlipuko huo ulilenga chumba kimoja cha burudani ambapo watu walikuwa wakitazama mechi ya soka kwenye televisheni. Mpaka sasa hakuna kundi lolote lililothibitisha kuhusika na shambulio hilo japo polisi wanadai yawezekana ni kundi la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 40, Nigeria

Watu 40 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea mjini Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 21 na kujeruhi 50 Nigeria

Kumetokea shambulizi la bomu mbele ya soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Nigeria Abuja na kuwauwa zaidi ya watu 21.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu watano Nigeria

Takriban watu watano wameripotiwa kuuawa katika mlipuko uliotokea sokoni Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 10 nchini Nigeria

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea mjini Bauchi Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

GPL

MLIPUKO WA BOMU WAUA 21 ABUJA NIGERIA

Mulipuko wa bomu umetokea katika duka kubwa la manunuzi la Emab Plaza lililo karibu na Banex Plaza, jijini Abuja, Nigeria.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko mwingine Nigeria - 14 wauawa

Polisi kaskazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa shambulizi la bomu limewauwa zaidi ya watu 14 na kuwajeruhi wengine wengi.

 

10 years ago

GPL

MLIPUKO WAUA 12 CHINA

Taswira kutoka eneo la Kiwanda cha Nanyang ulipotokea mlipuko. TAKRIBANI watu 12 wamefariki dunia huku 33 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea jana katika kiwanda cha kutengeneza fataki jijini Liling katika Mkoa wa Hunan nchini China. Moshi ukiwa umetanda katika eneo la kiwanda hicho. Mlipuko huo ulitokea katika Kiwanda cha Nanyang ambapo mamlaka husika haikusema chanzo chake. Matukio ya kulipuka viwanda vya… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua 30 Uturuki

Milipuko miwili imetokea kwenye mkutano wa hadhara kati kati mwa mji mkuu wa Uturuki na kuwaua karibu watu 30

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani