Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yajipanga kuilipa Tanesco

Ramadhan Abdalla ShaabanSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeanza kuweka mikakati ya kuhakikisha deni la umeme kutoka Shirika la Umeme (Tanesco), linalipwa kwa awamu tofauti ili kuepuka huduma hiyo kusitishwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

SMZ yajipanga kukabiliana na majanga

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kukabiliana na majanga mbalimbali, ikiwemo matukio ya ajali ya vyombo vya baharini kwa kutoa elimu kwa wananchi na makundi mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi nyeti zatakiwa kuilipa Tanesco madeni

VIONGOZI wanaosimamia taasisi nyeti na zenye madeni makubwa ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametakiwa kutimiza wajibu wao wa kulipa madeni hayo ya umeme ili kutoa nafasi kwa shirika hilo kujisimamia na kujiendesha.

 

9 years ago

Habarileo

Mapunda akubali kuilipa Simba

KIPA Ivo Mapunda amesema atarudisha fedha za Simba lakini anahitaji apewe muda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC yatakiwa kuilipa Dowans

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinatakiwa kulipa gharama sh bilioni 2.8 kwa ajili ya kufidia gharama za uendeshaji kesi iliyofungua dhidi ya kampuni ya Dowans. Akizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-

KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.

 

11 years ago

Habarileo

Uganda yaanza kuilipa Tanzania

SERIKALI ya Uganda tayari imeshaanza kulipa deni lake kwa Tanzania la dola za Marekani milioni 9.6 kati ya dola za Marekani milioni 18.4 ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Ngasa alikopa kuilipa Simba!

WANACHAMA wa klabu ya Yanga wameuomba uongozi wao wamchangie kulipa deni mshambuliaji wao, Mrisho Ngasa, baada ya kukopa katika moja ya benki hapa nchini kuwalipa Simba. Ngasa alikopa sh milioni...

 

10 years ago

BBCSwahili

JKT MLALE YATAKIWA KUILIPA LYON

Klabu ya JKT Mlale imeamriwa kuilipa African Lyon jumla ya sh. 600,000 ikiwa ni ada ya uhamisho na fidia kwa kumtumia mchezaji Noel Lucas .

 

9 years ago

Habarileo

Wadaiwa wa TSN watakiwa kuilipa isikwame

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura amewataka wadaiwa wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kulipa madeni yao kwa wakati, kuepusha kuendelea kuicheleweshea maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani