Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-

KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani

Serikali imepanga kulipa deni la Sh574 bilioni kwa mfumo wa hati fungani ililokopa kutoka Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF).

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuilipa KNCU mil. 225/-

SERIKALI imekubali kulipa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) 1984, Sh milioni 255. 1, kusaidia chama hicho kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaanza kulipa madeni ya Mfuko wa PSPF

>Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) umesema Serikali imeanza kulipa deni lake la Sh6.4 trilioni ililokuwa ikidaiwa na mfuko huo tangu mwaka 2012.

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali yakalia trilioni 8.4/- za PSPF, NSSF, PPF

Mkurugenzi wa SSRA, Irene Isaka
Madeni sugu ya serikali yanatishia uhai wa mifuko ya hifadhi ya jamii nchini huku Mamlaka ya Usimamizi ya Mifuko hiyo ( SSRA) ikitoa angalizo kwa serikali kuhusiana na hali hiyo kufuatia kuidai Sh. trilioni 8.43.

Hali hiyo inaweza kukwamisha mifuko hiyo kuwalipa mafao wanachama wake, kujiendesha yenyewe na kuwekeza katika miradi mbali mbali.

Deni hilo linatokana na serikali na taasisi zake kukopa kwenye mifuko hiyo na kutopeleka michango ya wanachama.

Mkurugenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yailipa MSD bilioni 20/-

SERIKALI imetoa kiasi cha Sh bilioni 20 ili kulipa sehemu ya deni la Sh bilioni 81 inayodaiwa na Bohari Kuu ya Taifa ya Dawa (MSD).

 

10 years ago

Michuzi

PSPF YAANDAA SEMINA YA SIKU MOJA KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa watumishi wa serikali na taasisi zake iliyofanyika jana Agosti 29, 2014 mjini Bagamoyo, mkoa wa Pwani. Constatina Martin Meneja Masoko, na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akizungumza kwenye semina ya siku moja ya watumishi wa serikali na taasisi zake iliyoandaliwa na Mduko huo mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ijumaa Agosti 29, 2014.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Tanzania yapokea zaidi ya Sh. Bilioni 10

01

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Doroth Mwanyika (kushoto) akitia saini mkataba wa ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi ya Usimamizi wa Fedha za Umma (PFM)  Awamu ya IV kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Finland nchini Bi. Sanikka Antila.

Na Eleuteri Mangi –MAELEZO

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea Sh. Bilioni 10.1 ambazo ni sawa na EURO milioni 4.8 kutika Serilkali ya Finland ikiwa kwa lengo la ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9


Na WAMJW-Dar es Salaam

Serikali  imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali kuokoa bilioni 2.5/- Taasisi ya Moyo

SERIKALI itakuwa inaokoa Sh bilioni 2.5 kwa mwaka baada ya kuzindua Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ambayo ni ya kisasa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Fedha hizo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kuwasafirisha Watanzania na kwenda kutibiwa magonjwa ya moyo katika hospitali mbalimbali nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani