Serikali kuokoa bilioni 2.5/- Taasisi ya Moyo
SERIKALI itakuwa inaokoa Sh bilioni 2.5 kwa mwaka baada ya kuzindua Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ambayo ni ya kisasa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Fedha hizo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kuwasafirisha Watanzania na kwenda kutibiwa magonjwa ya moyo katika hospitali mbalimbali nje ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s72-c/mbando-august22-2014.jpg)
SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s320/mbando-august22-2014.jpg)
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo
Afisa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (Law School) Bi. Scholastica Njozi akiwaeleza jambo waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa ziara iliyofanywa kwenye Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Omega Ngole.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali yatumia zaidi ya Bilioni 16 kujenga Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (the law school of Tanzania).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s72-c/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s320/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda kuutahadharisha Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI2552.jpg)
Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete sh. milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/--E_uFpYHl04/XqqlLaHKL3I/AAAAAAALooQ/dBPj22H9y2gasW2nHCwinA81h58nxGuzACLcBGAsYHQ/s640/OTMI2552.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ofaNsobsXQ/XqqlMLa7SXI/AAAAAAALooU/BEw8MdRgB8Q0KyOtrrq6LnzGPBfNhVCtQCLcBGAsYHQ/s640/OTMI2559.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Lions watoa bilioni 20/- kuokoa watoto
KLABU ya Lions International imechangia Sh bilioni 20 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua-rubela ambayo inalenga kufikia watoto zaidi ya milioni 21 nchini kote.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hJ31ZuoygbQ/XrPx-CyypHI/AAAAAAALpX8/LnYFrf_isKMsz5MIw0P8ZFL06bvPTMMEwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2Bno.%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam
07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10