Lions watoa bilioni 20/- kuokoa watoto
KLABU ya Lions International imechangia Sh bilioni 20 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua-rubela ambayo inalenga kufikia watoto zaidi ya milioni 21 nchini kote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
9 years ago
Habarileo06 Sep
Serikali kuokoa bilioni 2.5/- Taasisi ya Moyo
SERIKALI itakuwa inaokoa Sh bilioni 2.5 kwa mwaka baada ya kuzindua Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, ambayo ni ya kisasa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Fedha hizo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kuwasafirisha Watanzania na kwenda kutibiwa magonjwa ya moyo katika hospitali mbalimbali nje ya nchi.
9 years ago
StarTV12 Nov
Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti
Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.
Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.
Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s72-c/viewer.png)
Muhimbili yapatiwa msaada wa vifaa vya kuokoa maisha ya watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-RV5aRuCwMDs/VlTbpGnPIZI/AAAAAAAIISc/fy8M9AN7zyg/s640/viewer.png)
Vifaa hivyo vina thamani ya Dola za Kimarekani Laki moja sawa na zaidi Sh milioni 2 vimetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF),kwa lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa ni Ventilator, medical, adult –child ,w/access pamoja na Warmer system , newborn,...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Fedha, Mkesha wa Amani kuokoa vifo vya Wajawazito na Watoto nchini!!
Na Skolastika Tweneshe-MAELEZO Fedha zitakazopatikana katika Tamasha la mkesha wa kuombea amani nchini zitatumika kuwasaidia watu wenye mahitaji hasa afya ya mama na mtoto. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Jumuiya wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
Waswidi watoa bilioni 1.4 kugharamia mradi wa Mwanzo mwema
Balozi wa Sweden nchini, Mh. Lennarth Hjelmaker, akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi wa ‘Mwanzo Mwema’ (A Good Start) unaofadhiliwa na nchi yake kwa zaidi ya shilingi bilioni 1.4.Pamoja na mambo mengine, balozi huyo ameahidi nchi yake itaendelea kushirikana na Tanzania katika kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo ya afya.
Mwakilishi wa shirika la WaterAid Tanzania, Ibrahimu Kabole, akitoa ufafanuzi juu ya mradi wa ‘Mwanzo Mwema’ (A Good Start) ambao pamoja na mambo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-enpdSJQ7138/XphJ_dQgtaI/AAAAAAALnLM/s8q48pDMkZUx2CZaJggjMv9jENkbVr2hQCLcBGAsYHQ/s72-c/7502c379-bed5-4fb4-95cf-9a838a3e0ee4.jpg)
MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE
KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.
Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...
10 years ago
Dewji Blog08 May
World Lung Foundation yazindua mradi wa elimu kwa mtandao inayosaidia kuokoa maisha ya akina mama na watoto
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid, akizindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World Lung Foundation (WLF) la hapa nchini, ambapo vituo vya Afya 13 vinanufaika na mradi huo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid (wapili kulia), akipiga makofi mara baada ya kuzindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NLdcW8kOh8/VYjojL-Jh0I/AAAAAAAHipk/nYxlHS2XEJY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini