Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
Katika harakati za kulinda msitu wa Mlima Kilimanjaro na kuokoa theluji yake, Shirika la Kuhifadhi Mazingira (Teaca), limetoa msaada wa mizinga ya nyuki katika vijiji vinavyozunguka mlima huo ili kuwapatia wananchi ajira mbadala na kuachana na tabia ya uharibifu wa misitu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s72-c/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
LEAT WATOA MIZINGA 350 KWA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s640/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zgWbvv5vSE/VlbwpAmsDfI/AAAAAAADC2M/YNzeGlIbZas/s640/IMG_20151123_130916.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2bFXSV8eqM/VlbwqA6f3MI/AAAAAAADC2Y/aPSxsXx0yRY/s640/IMG_20151124_115156%255B1%255D.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KryTclFAUys/VlbwyZez8WI/AAAAAAADC2o/-rX3uKSJHgk/s640/IMG_20151124_123425.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0h7mvVOWhVg/VlbwugG-BlI/AAAAAAADC2g/kUEEwH_N8iA/s640/IMG_20151124_123657%255B1%255D.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mizinga nyuki kwa vikundi
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
‘Mizinga ya nyuki izingatie viwango’
WATENGENEZAJI wa mizinga ya nyuki wametakiwa kuzingatia vipimo, viwango ili kuwezesha nyuki kujenga masega na kuongeza uzalishaji wa asali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PKrUFBP09Qk/XqpzQyQeXpI/AAAAAAALom8/BF4owR-t4qw3w63tm-qzVazrmlJ4UdioACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0025.jpg)
KOKA AIPATIA JUMUIYA YA WAZAZI KIBAHA MIZINGA YA NYUKI
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Mizinga kumi ya Nyuki Yenye Thamani ya Shilingi Milioni 1.5 kwa Umoja wa Wazazi(CCM) Kibaha Mjini kwa Ajili ya Mradi wa Ufugaji wa Nyuki.
Akizungumza Wakati wa Makabidhiano Hayo, katika Ofisi za CCM Kibaha Mjini, Jana, Mbunge Koka Aliipongeza Jumuiya Hiyo kwa Kupata Mwenyekiti Mwenye Maono Makubwa ya Kuiendeleza Jumuiya Hiyo kwa Kuitafutia Miradi Mbalimbali.
"Niwapongeze Jumuiya ya Wazazi Kibaha Mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mtalii anasa kwenye miamba Mlima K’njaro
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mabalozi tisa wafika kileleni Mlima K’njaro
10 years ago
Habarileo20 Oct
Lions watoa bilioni 20/- kuokoa watoto
KLABU ya Lions International imechangia Sh bilioni 20 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua-rubela ambayo inalenga kufikia watoto zaidi ya milioni 21 nchini kote.