Mtalii anasa kwenye miamba Mlima K’njaro
Mtalii mmoja raia wa Ujerumani, Jeane Traska (32) amenasa katika miamba ya kilele cha Mawenzi cha Mlima Kilimanjaro baada ya kwenda kinyemela eneo hilo ambalo haliruhusiwi kupandwa na watalii isipokuwa kwa ruhusa maalumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMTALII KUTOKA UJERUMANI AKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO
Mlima Kilimanjaro. Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika kwa jina la Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro kwa kamba iliyonasa na kuwafanya wasiweze kushuka chini wala kwenda juu. Bi. Jeanne na Athuman Juma walianza kupanda mlima kupitia Kampuni ya Nordic Tours tarehe 18.3.2014 kwa kutumia njia ya Rongai -...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
Katika harakati za kulinda msitu wa Mlima Kilimanjaro na kuokoa theluji yake, Shirika la Kuhifadhi Mazingira (Teaca), limetoa msaada wa mizinga ya nyuki katika vijiji vinavyozunguka mlima huo ili kuwapatia wananchi ajira mbadala na kuachana na tabia ya uharibifu wa misitu.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Mabalozi tisa wafika kileleni Mlima K’njaro
Mabalozi tisa kati ya 16 wa Tanzania waliopanda Mlima Kilimanjaro, wamefanikiwa kufika kileleni na kuweka historia ya kundi kubwa la mabalozi kufikia mafanikio hayo.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mtazamo wao ni kuwa miamba iligongana kwa pamoja na kuunda miamba mikubwa hadi kuwa sayari
Matokeo mapya yalichapishwa kwenye jarida la kisayansi limesema kuwa uundwaji huu ulikuwa wa utulivu , miamba ikijikusanya pamoja
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Jokate.jpg)
YALIYOMO KWENYE GAZETI LA IJUMAA: JOKATE ANASA UJAUZITO!
Wakati Wema akihaha kusaka mtoto, Jokate anasa ujauzito! -Ashindwa kuhudhuria pati ya Wema -Unataka kumjua mwenye ‘mzigo’ huo? -Jokate anena na mazito na Ijumaa. Zari ammaindi mrembo aliyejichora tatuu ya Diamond -Je, unataka kumjua mrembo huyo ni nani? -Unataka kufahamu undani wake? Mme wa mtu afanya mambo ya aibu -Je, unataka kujua alichokifanya mbaba huyu, wapi na ilikuwaje? Dada wa Diamond afanyiwa kitu mbaya usiku -Ni...
10 years ago
VijimamboWAMAREKANI WAFUNGA NDOA KWENYE MLIMA KILIMANJARO
10 years ago
MichuziWIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s72-c/E86A7406%2B(800x533).jpg)
HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s640/E86A7406%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nk0KZCcGQN4/VVQxgn_gTwI/AAAAAAAAPg8/7xN5938A0zA/s640/E86A7410%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s640/E86A7429%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-enM6rRU2dM8/VVQxizBL0aI/AAAAAAAAPhM/p5osEa44hGU/s640/E86A7444%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKvL6XrIiI/VVQxjbG9bzI/AAAAAAAAPhQ/ugq5vjzVRTI/s640/E86A7450%2B(800x533).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania