Mabalozi tisa wafika kileleni Mlima K’njaro
Mabalozi tisa kati ya 16 wa Tanzania waliopanda Mlima Kilimanjaro, wamefanikiwa kufika kileleni na kuweka historia ya kundi kubwa la mabalozi kufikia mafanikio hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Mtalii anasa kwenye miamba Mlima K’njaro
Mtalii mmoja raia wa Ujerumani, Jeane Traska (32) amenasa katika miamba ya kilele cha Mawenzi cha Mlima Kilimanjaro baada ya kwenda kinyemela eneo hilo ambalo haliruhusiwi kupandwa na watalii isipokuwa kwa ruhusa maalumu.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
Katika harakati za kulinda msitu wa Mlima Kilimanjaro na kuokoa theluji yake, Shirika la Kuhifadhi Mazingira (Teaca), limetoa msaada wa mizinga ya nyuki katika vijiji vinavyozunguka mlima huo ili kuwapatia wananchi ajira mbadala na kuachana na tabia ya uharibifu wa misitu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jSsNsbQ5o7w/VVGGJtFOAwI/AAAAAAAAPUE/0KJtoq3Z5Qw/s72-c/CIMG4447%2B(800x600).jpg)
KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASSA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-jSsNsbQ5o7w/VVGGJtFOAwI/AAAAAAAAPUE/0KJtoq3Z5Qw/s640/CIMG4447%2B(800x600).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-85DuQwlcKx4/VVGGHhQuauI/AAAAAAAAPTw/JTWta9B-pAI/s640/CIMG4444%2B(800x600).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MWunxGimE44/VVGGUncvw5I/AAAAAAAAPVE/8_qtH-wdouY/s640/CIMG4504%2B(800x600).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ryzN55a0bDc/VVGGE2HtvrI/AAAAAAAAPTk/4xN0WpLaNqM/s72-c/CIMG4420%2B(800x600).jpg)
KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ryzN55a0bDc/VVGGE2HtvrI/AAAAAAAAPTk/4xN0WpLaNqM/s640/CIMG4420%2B(800x600).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TPLee_jN6cc/VVGGBgd5t3I/AAAAAAAAPTY/CtSJ6BHL56w/s640/CIMG4414%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MD1_5LkPYbw/VVGGOtQVutI/AAAAAAAAPUs/FkaDXmY3UFw/s640/CIMG4456%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NSCLvF_7Un8/VVGGWFVlkGI/AAAAAAAAPVU/nVmU_TgVoOs/s640/CIMG4505%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdm9JqSnz-M/VVGGUlaqvXI/AAAAAAAAPVA/p8HQ6zUwGcw/s640/CIMG4493%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JM2EhHtwFVU/VVGGNZds71I/AAAAAAAAPUc/L27Xs7RiU8I/s640/CIMG4452%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qE5Y1KhiKtY/VVGGKVPuwOI/AAAAAAAAPUM/yEEff0CoWGE/s640/CIMG4451%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lTebCEjXE48/VVGGKGSS2dI/AAAAAAAAPUI/sNqZRZgVTMs/s640/CIMG4449%2B(800x600).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s72-c/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
RAIA WA AFRIKA KUSINI WALIOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA WATOTO YATIMA WASHUKA,32 KATI YA 37 WAFIKA KILELE CHA UHURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s640/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O1ISCkBa118/Va3YrVKkEsI/AAAAAAAAShg/-jMBbxTy3Ow/s640/E86A6692%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9w7_veiwB38/Va3YcPgDhVI/AAAAAAAASgw/aYZU_FFuUpk/s640/E86A6648%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
MichuziSAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIKA SIKU YA KWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HJLA1oekUn8/U7OWqJ8t3-I/AAAAAAAAFro/d_PtICix97I/s72-c/IMG-20140630-WA0000.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA, IDDA BAITWA AELEKEA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-HJLA1oekUn8/U7OWqJ8t3-I/AAAAAAAAFro/d_PtICix97I/s1600/IMG-20140630-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m_K-oivej2o/U7OWsLnArbI/AAAAAAAAFrw/GATX77cWLrQ/s1600/IMG-20140630-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XThM9jqGMuw/U7OWtNS0N3I/AAAAAAAAFr8/nM_i90_UIdI/s1600/IMG-20140630-WA0006.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
MichuziMEMBE AZINDUA SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUTANGAZA UTALII
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe amewataka Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali ulimwenguni kuhakikisha kuwa wanatangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini ikiwa ni njia mojawapo ya kutekeleza diplomasia ya uchumi.
Waziri Membe aliyasema hayo wakati akizindua zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro linalofanywa na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kwa lengo la kuutangaza Mlima Kilimanjaro ili uweze kuvutia watalii...
Waziri Membe aliyasema hayo wakati akizindua zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro linalofanywa na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kwa lengo la kuutangaza Mlima Kilimanjaro ili uweze kuvutia watalii...
10 years ago
MichuziSIKU YA PILI ILIVYOKUWA KWA MABALOZI WAKATI WAKIPANDA MLIMA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania