MTALII KUTOKA UJERUMANI AKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO
Mlima Kilimanjaro. Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika kwa jina la Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro kwa kamba iliyonasa na kuwafanya wasiweze kushuka chini wala kwenda juu. Bi. Jeanne na Athuman Juma walianza kupanda mlima kupitia Kampuni ya Nordic Tours tarehe 18.3.2014 kwa kutumia njia ya Rongai -...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s36NnGIWSys/Uy2WFc4nVuI/AAAAAAAFVl4/6Hz5lQVmWL4/s72-c/images+(1).jpg)
JUST IN: MGENI AKWAMA KATIKA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-s36NnGIWSys/Uy2WFc4nVuI/AAAAAAAFVl4/6Hz5lQVmWL4/s1600/images+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s72-c/New+Picture.png)
NEWZZZ ALERT:KIKOSI CHA UOKOAJI TANAPA CHAMNASUA MTALII ALIYENASA KILELE CHA MAWENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KtOOH7qN_r8/Uy62GE7x3BI/AAAAAAAFVuM/pAq57oaEXn4/s1600/New+Picture.png)
MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-78TJZBCXTUU/XkRhkP8Yz5I/AAAAAAALdHs/29cCzDcEuSQSIyl4jTRg6npR1C3x3uTPwCLcBGAsYHQ/s72-c/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
MUONEKANO WA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO KWA SASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-78TJZBCXTUU/XkRhkP8Yz5I/AAAAAAALdHs/29cCzDcEuSQSIyl4jTRg6npR1C3x3uTPwCLcBGAsYHQ/s640/c6883c6c-13d1-45be-bfe7-cf897939f3fe.jpg)
Dkt. Kikwete amesema kuwa picha hiyo ameipiga wakati akiwa njiani akitokea Nairobi kwenda Dar es Salaam, saa chache baada ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili nchini Kenya, Daniel Arap Moi.
10 years ago
MichuziMaafande wa Jeshi la Magereza Watinga Kilele cha Mlima Kilimanjaro
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRaFFiSWSbXoCRfn0r*8D7ITDR6*xvoq*FaHb6sfC8XTxLwmu79zZFeDsf7AuC41QnD3GEnb7KrpMTs3sGU8*kUv/IddaBaita.jpg)
MTOTO WA MIAKA 9 AVUNJA RECORD YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BvvAZRNFqnTT1pgaYBhBMLNlBBU1UhGT*CiRdpschWBgdAgHjYgn9PqdqmtCySXHskCN8tT*MEVHxMgcnhwvRbRny0*aWmke/BEN.jpg?width=650)
KIJANA AVUA NGUO BAADA YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ryzN55a0bDc/VVGGE2HtvrI/AAAAAAAAPTk/4xN0WpLaNqM/s72-c/CIMG4420%2B(800x600).jpg)
KUNDI LA VIJANA MARAFIKI WA LOWASA WAFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ryzN55a0bDc/VVGGE2HtvrI/AAAAAAAAPTk/4xN0WpLaNqM/s640/CIMG4420%2B(800x600).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TPLee_jN6cc/VVGGBgd5t3I/AAAAAAAAPTY/CtSJ6BHL56w/s640/CIMG4414%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MD1_5LkPYbw/VVGGOtQVutI/AAAAAAAAPUs/FkaDXmY3UFw/s640/CIMG4456%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NSCLvF_7Un8/VVGGWFVlkGI/AAAAAAAAPVU/nVmU_TgVoOs/s640/CIMG4505%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdm9JqSnz-M/VVGGUlaqvXI/AAAAAAAAPVA/p8HQ6zUwGcw/s640/CIMG4493%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JM2EhHtwFVU/VVGGNZds71I/AAAAAAAAPUc/L27Xs7RiU8I/s640/CIMG4452%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qE5Y1KhiKtY/VVGGKVPuwOI/AAAAAAAAPUM/yEEff0CoWGE/s640/CIMG4451%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lTebCEjXE48/VVGGKGSS2dI/AAAAAAAAPUI/sNqZRZgVTMs/s640/CIMG4449%2B(800x600).jpg)