Mizinga nyuki kwa vikundi
Vikundi saba vilivyopo Kata ya Kiwele na Nduli mkoani Iringa vimekabidhiwa mizinga 100 ya nyuki kwa ajili ya ufugaji nyuki ili kujikwamua kiumaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s72-c/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
LEAT WATOA MIZINGA 350 KWA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s640/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zgWbvv5vSE/VlbwpAmsDfI/AAAAAAADC2M/YNzeGlIbZas/s640/IMG_20151123_130916.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2bFXSV8eqM/VlbwqA6f3MI/AAAAAAADC2Y/aPSxsXx0yRY/s640/IMG_20151124_115156%255B1%255D.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KryTclFAUys/VlbwyZez8WI/AAAAAAADC2o/-rX3uKSJHgk/s640/IMG_20151124_123425.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0h7mvVOWhVg/VlbwugG-BlI/AAAAAAADC2g/kUEEwH_N8iA/s640/IMG_20151124_123657%255B1%255D.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
‘Mizinga ya nyuki izingatie viwango’
WATENGENEZAJI wa mizinga ya nyuki wametakiwa kuzingatia vipimo, viwango ili kuwezesha nyuki kujenga masega na kuongeza uzalishaji wa asali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PKrUFBP09Qk/XqpzQyQeXpI/AAAAAAALom8/BF4owR-t4qw3w63tm-qzVazrmlJ4UdioACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0025.jpg)
KOKA AIPATIA JUMUIYA YA WAZAZI KIBAHA MIZINGA YA NYUKI
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Mizinga kumi ya Nyuki Yenye Thamani ya Shilingi Milioni 1.5 kwa Umoja wa Wazazi(CCM) Kibaha Mjini kwa Ajili ya Mradi wa Ufugaji wa Nyuki.
Akizungumza Wakati wa Makabidhiano Hayo, katika Ofisi za CCM Kibaha Mjini, Jana, Mbunge Koka Aliipongeza Jumuiya Hiyo kwa Kupata Mwenyekiti Mwenye Maono Makubwa ya Kuiendeleza Jumuiya Hiyo kwa Kuitafutia Miradi Mbalimbali.
"Niwapongeze Jumuiya ya Wazazi Kibaha Mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Wadau waliohudhuria kongamano la Nyuki mjini Arusha, watembelea shamba la darasa la Nyuki wilayani Ikungi
Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Nyuki Gladness Mkanda,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mahambe wilaya ya Ikungi muda mfupi baada ya kuongoza wadau wa nyuki kutoka sehemu mbalimbali duniani,kutembelea shamba darasa la ufugaji bora wa nyuki linalomilikiwa na shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI).Mkamba alitoa wito kwa wananchi kujiunga katika vikundi vya ufugaji Nyuki ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Meneja wa shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI), Jonathani Njau,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIzBMRRb8orqeUj9PiZfzi2X6rLvz*CTQBRIt4RhhrKMCq7f0xpu08WIUv-jhrYGUWoV*uH-aefPzjSHvy4cDSK/13.jpg)
UTAISHI KWA KUUNGAUNGA, KUPIGA MIZINGA HADI LINI?
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Pinda atimiza ahadi yake kwa kukabidhi mizinga 600 Singida
Afisa mwanadamizi wa mamlaka ya misitu kanda ya kati, Joyce akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013.
Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi Mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013. Aliyeketi ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utallii, Mahamoud Mgimwa.
Naibu Waziri wa Mali asili na utalii, Mahamoud Mgimwa (kulia) akimkabidhi mbunge wa...