KOKA AIPATIA JUMUIYA YA WAZAZI KIBAHA MIZINGA YA NYUKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PKrUFBP09Qk/XqpzQyQeXpI/AAAAAAALom8/BF4owR-t4qw3w63tm-qzVazrmlJ4UdioACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0025.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Mizinga kumi ya Nyuki Yenye Thamani ya Shilingi Milioni 1.5 kwa Umoja wa Wazazi(CCM) Kibaha Mjini kwa Ajili ya Mradi wa Ufugaji wa Nyuki.
Akizungumza Wakati wa Makabidhiano Hayo, katika Ofisi za CCM Kibaha Mjini, Jana, Mbunge Koka Aliipongeza Jumuiya Hiyo kwa Kupata Mwenyekiti Mwenye Maono Makubwa ya Kuiendeleza Jumuiya Hiyo kwa Kuitafutia Miradi Mbalimbali.
"Niwapongeze Jumuiya ya Wazazi Kibaha Mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida
Na Jumbe Ismailly, Singida
HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.
Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.
Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
‘Mizinga ya nyuki izingatie viwango’
WATENGENEZAJI wa mizinga ya nyuki wametakiwa kuzingatia vipimo, viwango ili kuwezesha nyuki kujenga masega na kuongeza uzalishaji wa asali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mizinga nyuki kwa vikundi
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Koka apiga tafu Polisi Kibaha
MBUNGE wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amewataka askari polisi kufanya kazi kwa uadilifu na heshima ili kuendelea kujenga imani kwa wananchi wanaowahudumia. Koka, alitoa wito huo jana wakati akikabidhi msaada...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Watoa mizinga ya nyuki kuokoa Mlima K’njaro
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s72-c/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
LEAT WATOA MIZINGA 350 KWA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Foihq6XYn1s/VlbwosTpr1I/AAAAAAADC2I/l0U1XqFTmSY/s640/IMG_20151123_124630%255B1%255D.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7zgWbvv5vSE/VlbwpAmsDfI/AAAAAAADC2M/YNzeGlIbZas/s640/IMG_20151123_130916.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2bFXSV8eqM/VlbwqA6f3MI/AAAAAAADC2Y/aPSxsXx0yRY/s640/IMG_20151124_115156%255B1%255D.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KryTclFAUys/VlbwyZez8WI/AAAAAAADC2o/-rX3uKSJHgk/s640/IMG_20151124_123425.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0h7mvVOWhVg/VlbwugG-BlI/AAAAAAADC2g/kUEEwH_N8iA/s640/IMG_20151124_123657%255B1%255D.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200221_100245.jpg)
Jumuiya za CCM Watakiwa kuanzisha miradi ya nyuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-8VsnR1ILNHs/Xk_Z-a_lXdI/AAAAAAALerc/y39HhSHTLzEkHsgbJXfwnY7ls3G5GxvFACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100245.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-u4XDO9bRSp4/Xk_Z-NBTjcI/AAAAAAALerY/nGGZlJYuVFo3l194zQBDsI-jtiTzQ8MNACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_100808.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tGekAAhW6kM/Xk_Z-d3avfI/AAAAAAALerg/MD48jm58cEQW0oC1QxrjbTGNq5Qmcz-QQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200221_101209.jpg)
11 years ago
Habarileo23 Feb
Pinda aipa changamoto Jumuiya ya wazazi
SIKU moja baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mitihani ya Kidato cha Nne, Jumuiya ya Wazazi ya CCM imetakiwa kuhakikisha shule yao inakuwa moja ya shule 10 kitaifa, wakati ikijivunia kuwa na shule nyingi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa changamoto hiyo jana mjini hapa.