Waswidi watoa bilioni 1.4 kugharamia mradi wa Mwanzo mwema
Balozi wa Sweden nchini, Mh. Lennarth Hjelmaker, akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi wa ‘Mwanzo Mwema’ (A Good Start) unaofadhiliwa na nchi yake kwa zaidi ya shilingi bilioni 1.4.Pamoja na mambo mengine, balozi huyo ameahidi nchi yake itaendelea kushirikana na Tanzania katika kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo ya afya.
Mwakilishi wa shirika la WaterAid Tanzania, Ibrahimu Kabole, akitoa ufafanuzi juu ya mradi wa ‘Mwanzo Mwema’ (A Good Start) ambao pamoja na mambo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
WaterAid Tanzania, Singpress kushirikiana mradi wa Mwanzo mwema
Na Nathaniel Limu, Singida
SHIRIKA lisilo la kiserikali la WaterAid Tanzania,limeahidi kushirikiana na klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--Ftdd71Pfe8/VXEUmbTxpoI/AAAAAAAAQbs/0LEBciHLlgg/s72-c/E86A9272%2B%2528800x533%2529.jpg)
MRADI WA UJIRANI MWEMA ULIOTOLEWA NA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Ftdd71Pfe8/VXEUmbTxpoI/AAAAAAAAQbs/0LEBciHLlgg/s640/E86A9272%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YXqZcdi_dc0/VXEUmVRB6yI/AAAAAAAAQbk/7Gf4yNVatsE/s640/E86A9273%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wKw_WmxUU3I/VXEUlylwyeI/AAAAAAAAQbg/eKHasjv6fBc/s640/E86A9285%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXcTO2kK-mE/VXEUq1BIXSI/AAAAAAAAQb4/RYO8Yg0WQ7w/s640/E86A9286%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kupitia ujirani mwema wakabidhi mradi wa maji katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cfi2vLT82Tw/VW6DYoaB8rI/AAAAAAAAQTY/s9NpqO6vhNw/s640/E86A9060%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0oJ0hsnqRg/VW6DjBCAk2I/AAAAAAAAQUg/CynatgvE-xk/s640/E86A9108%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xKmu2jaHWfI/VW6DjwzVRgI/AAAAAAAAQUs/u782CEaSjJk/s640/E86A9116%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cfi2vLT82Tw/VW6DYoaB8rI/AAAAAAAAQTY/s9NpqO6vhNw/s72-c/E86A9060%2B%2528800x533%2529.jpg)
HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA(TANAPA) KUPITIA UJIRANI MWEMA WAKABIDHI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA ASHIRA WILAYA YA MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cfi2vLT82Tw/VW6DYoaB8rI/AAAAAAAAQTY/s9NpqO6vhNw/s640/E86A9060%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0oJ0hsnqRg/VW6DjBCAk2I/AAAAAAAAQUg/CynatgvE-xk/s640/E86A9108%2B%2528800x450%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xKmu2jaHWfI/VW6DjwzVRgI/AAAAAAAAQUs/u782CEaSjJk/s640/E86A9116%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Oct
Lions watoa bilioni 20/- kuokoa watoto
KLABU ya Lions International imechangia Sh bilioni 20 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua-rubela ambayo inalenga kufikia watoto zaidi ya milioni 21 nchini kote.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe
11 years ago
Dewji Blog29 May
Mradi wa jengo jipya MOI kugharimu shilingi bilioni 30
Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) Bw. Jumaa Almasi (katikati)akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua iliyofikiwa katika kupanua huduma za Taasisi hiyo ikiwemo kukamilika kwa jengo jipya la kisasa litakalokuwa na vifaa vya kisasa kama MRI ( magnetic Resonance Imaging) CT-SCAN (Computerized Tomography).kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum na kulia ni Afisa uhusiano wa Taasisi...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Bilioni 4.75 kutumika Mradi wa Maji Masoko wilayani Rungwe
Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA.
SERIKALI inatarajia kutumia shilingi bilioni 4.75 kwa mujibu wa mkataba, kama gharama za mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe, na tayari fedha iliyokwishalipwa ni shilingi bilioni 1.27
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makala (pichani) alipokuwa akijibu Swali la Msingi la Mhe. Profesa. David Mwakyusa, Mbunge wa Rungwe Magharibi aliyetaka kujua msimamo wa Serikali baada ya Mradi wa Maji Masoko Wilayani Rungwe kutokamilika kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BEuPiC3mG2U/UycvoNknxrI/AAAAAAAFUN8/HVHq4po_rL0/s72-c/unnamed+(79).jpg)
Waziri Mkuu azindua Mradi wa Maji wa Bilioni 2.27 Kibaigwa, dodoma