Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuilipa KNCU mil. 225/-

SERIKALI imekubali kulipa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) 1984, Sh milioni 255. 1, kusaidia chama hicho kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi duniani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila. KAMPUNI ya IPTL pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa PAP Harbinder Sigh Seth, wamemfungulia kesi aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakitaka awalipe shilingi za milioni 100. Wakili aliyefungua kesi hiyo kwa niaba ya mteja wake anasema, wanataka mahakama kumuamuru David Kafulila alipe fedha hizo kwa kuwakashifu kuwa wamechukua fedha...

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU yazidi kuing’ang’ania Serikali

Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa wa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimezidi kuibana Serikali kikisisitiza kuwa kinastahili kulipwa Sh255.1 milioni, kama fidia ya mdodoro wa uchumi wa mwaka 2008.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-

KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani

Serikali imepanga kulipa deni la Sh574 bilioni kwa mfumo wa hati fungani ililokopa kutoka Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF).

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6

SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wakamata wapiga ramli 225

Advera SensoJESHI la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli 225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.

 

10 years ago

Daily News

225 'healers' netted over albino killings


225 'healers' netted over albino killings
Daily News
A SPECIAL police operation in the Lake Zone regions has succeeded in netting 225 so-called traditional healers among other people suspected to have been involved in the killing of people with albinism and chopping off their bodily parts. The police ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Walimu Singida waidai serikali mil 314/-

DSC02785

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WALIMU mkoani Singida wanaidai serikali zaidi ya sh milioni 314 yakiwa ni malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya siku za nyuma kwa vipindi tofauti hadi kufikia Desemba mwaka huu.

Ofisa...

 

10 years ago

Habarileo

Faini Dar zaingizia serikali mil 336/-

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kupitia kikosi chake cha usalama barabarani wamekusanya zaidi ya Sh milioni 336 kama tozo kwa makosa mbalimbali ya kukiuka sheria za usalama barabarani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani