Serikali kuilipa KNCU mil. 225/-
SERIKALI imekubali kulipa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) 1984, Sh milioni 255. 1, kusaidia chama hicho kufidia hasara iliyotokana na mdororo wa uchumi duniani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI2S93FMbKuBp-k6HbIOlRE-nsgjDUwAE9QkWsPmmPm*5reYw2khO0mveGBK9DEbWKRs5Dt-hNzuyBd3s*ki1jYr/kafulila.jpg)
KAFULILA KUBURUZWA KORTINI, KUILIPA IPTL, PAP MIL 100
11 years ago
Mwananchi01 Feb
KNCU yazidi kuing’ang’ania Serikali
11 years ago
Habarileo16 Dec
Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-
KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani
9 years ago
Habarileo02 Dec
Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6
SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.
10 years ago
Habarileo12 Mar
Polisi wakamata wapiga ramli 225
JESHI la Polisi nchini limesema limewakamata wapiga ramli 225 katika Mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza, Simiyu, Shinyanga Katavi, Rukwa na Kagera.
10 years ago
Daily News12 Mar
225 'healers' netted over albino killings
Daily News
A SPECIAL police operation in the Lake Zone regions has succeeded in netting 225 so-called traditional healers among other people suspected to have been involved in the killing of people with albinism and chopping off their bodily parts. The police ...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Walimu Singida waidai serikali mil 314/-
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WALIMU mkoani Singida wanaidai serikali zaidi ya sh milioni 314 yakiwa ni malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya siku za nyuma kwa vipindi tofauti hadi kufikia Desemba mwaka huu.
Ofisa...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Faini Dar zaingizia serikali mil 336/-
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kupitia kikosi chake cha usalama barabarani wamekusanya zaidi ya Sh milioni 336 kama tozo kwa makosa mbalimbali ya kukiuka sheria za usalama barabarani.