Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumbe Ngasa alikopa kuilipa Simba!

WANACHAMA wa klabu ya Yanga wameuomba uongozi wao wamchangie kulipa deni mshambuliaji wao, Mrisho Ngasa, baada ya kukopa katika moja ya benki hapa nchini kuwalipa Simba. Ngasa alikopa sh milioni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja

Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...

 

9 years ago

Habarileo

Mapunda akubali kuilipa Simba

KIPA Ivo Mapunda amesema atarudisha fedha za Simba lakini anahitaji apewe muda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr : Kumbe Simba SC walinidanganya kuhusu Mgambo

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amefichua siri ambayo ni vigumu kuiamini. Alisema alilazimika juzi kupanga viungo wengi dhidi ya Mgambo JKT kutokana na kupewa taarifa kuwa timu hiyo inacheza soka la kushambulia kwa wakati wote.

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yajipanga kuilipa Tanesco

Ramadhan Abdalla ShaabanSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeanza kuweka mikakati ya kuhakikisha deni la umeme kutoka Shirika la Umeme (Tanesco), linalipwa kwa awamu tofauti ili kuepuka huduma hiyo kusitishwa.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-

KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.

 

11 years ago

Habarileo

Uganda yaanza kuilipa Tanzania

SERIKALI ya Uganda tayari imeshaanza kulipa deni lake kwa Tanzania la dola za Marekani milioni 9.6 kati ya dola za Marekani milioni 18.4 ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC yatakiwa kuilipa Dowans

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinatakiwa kulipa gharama sh bilioni 2.8 kwa ajili ya kufidia gharama za uendeshaji kesi iliyofungua dhidi ya kampuni ya Dowans. Akizungumza na...

 

9 years ago

Habarileo

Wadaiwa wa TSN watakiwa kuilipa isikwame

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura amewataka wadaiwa wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kulipa madeni yao kwa wakati, kuepusha kuendelea kuicheleweshea maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani