Kumbe Ngasa alikopa kuilipa Simba!
WANACHAMA wa klabu ya Yanga wameuomba uongozi wao wamchangie kulipa deni mshambuliaji wao, Mrisho Ngasa, baada ya kukopa katika moja ya benki hapa nchini kuwalipa Simba. Ngasa alikopa sh milioni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM13 Feb
Du! Kumbe Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake kutimiza mwezi mmoja
Haikuwahi kuandikwa kumbe mshambuliaji wa klabu ya soka ya Yanga,Mrisho Ngasa alifanya sherehe baada ya ndoa yake ya pili aliyoifunga mwishoni mwa mwaka jana kutimiza mwezi mmoja.
Picha aliyoipost mchezaji mwezake Jeryson Tegete mwezi miezi miwili iliyopita ilimwonyesha Ngasa akiwa na mkewe wakiwa wameshika keki huku iliambatana na maneno haya ……tegete_jerson Hongereni Mr and Mrs Ngasa kwa kutimiza mwezi katika ndoa yenu...waone wenyewe kama tom and jerry hahahahaha@mrishongasanishmer...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mapunda akubali kuilipa Simba
KIPA Ivo Mapunda amesema atarudisha fedha za Simba lakini anahitaji apewe muda.
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kerr : Kumbe Simba SC walinidanganya kuhusu Mgambo
11 years ago
Habarileo13 Feb
SMZ yajipanga kuilipa Tanesco
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeanza kuweka mikakati ya kuhakikisha deni la umeme kutoka Shirika la Umeme (Tanesco), linalipwa kwa awamu tofauti ili kuepuka huduma hiyo kusitishwa.
11 years ago
Habarileo16 Dec
Serikali kuilipa PSPF bilioni 50/-
KATIKA mwaka huu wa fedha serikali inatarajia kuulipa Mfuko wa Penseni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) jumla ya Sh bilioni 50, huku ikiwa imelipa Sh bilioni 60, mwaka jana. Malipo hayo yanatokana na deni la serikali katika mfuko huo.
11 years ago
Habarileo12 Dec
Uganda yaanza kuilipa Tanzania
SERIKALI ya Uganda tayari imeshaanza kulipa deni lake kwa Tanzania la dola za Marekani milioni 9.6 kati ya dola za Marekani milioni 18.4 ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978.
11 years ago
Tanzania Daima22 May
LHRC yatakiwa kuilipa Dowans
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinatakiwa kulipa gharama sh bilioni 2.8 kwa ajili ya kufidia gharama za uendeshaji kesi iliyofungua dhidi ya kampuni ya Dowans. Akizungumza na...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Wadaiwa wa TSN watakiwa kuilipa isikwame
NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura amewataka wadaiwa wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kulipa madeni yao kwa wakati, kuepusha kuendelea kuicheleweshea maendeleo.