Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wa Marais wana haki kujiunga na siasa?

Katika mfululizo wa makala kuhusu uhuru leo tunaangalia uhuru katika kufanya shughuli za siasa nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TLB WANA SHAKA NA VYAMA VYA SIASA KWA KUTOWEKA MASLAHI NA HAKI KWA WATU WASIOONA

  Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia hatua ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. kutoka Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa (TLB), Emmanuel Simon.
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao

WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...

 

9 years ago

GPL

RANSEY NOUAH AKATAA KUJIUNGA NA SIASA

Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, Ramsey Nouah. Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, Ramsey Nouah amekaririwa akisema kuwa, yuko tofauti kabisa na wasanii wenzake wa nchini humo wanaokimbilia kwenye siasa kila kukicha na kuongeza kuwa mashabiki wake wasitegemee Ramsey kujiunga na siasa. Akifanyiwa mahojiano maalum na mtandao wa NET wa nchini humo, Ramsey alisema kuwa: ‘Sijui jinsi gani naweza kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume wana haki ya asili - Nyangwine

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Nyambari Chacha Nyangwine amewapiga vijembe wanaume wanaotaka haki zao ziingizwe kwenye Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaigana: Wapinzani wana haki kuandamana

Alfred Tibaigana alipokuwa kazini siku chache kabla ya kustaafu.
Katika mahojiano maalumu na gazeti hili nyumbani kwake Buganguzi wilayani Muleba, Kamishna Tibaigana alisema suala la maandamano halikumsumbua kwa kuwa alielewa kuwa sheria inayaruhusu, hivyo alichokuwa akifanya ni kuwaita viongozi wa vyama vinavyotaka kuandamana na kufanya nao makubaliano ya namna maandamano hayo yanavyopaswa yafanywe kabla ya kuyaruhusu.“Pengine hiyo ndiyo sababu sikuwahi kushambuliwa kwa maneno ya kejeli au...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatutachoka kusema, albino wana haki ya kuishi

Kwa mara nyingine katika kipindi cha wiki moja, mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino) amekatwa mkono na watu wenye imani za kishirikina mkoani Tabora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda wasijione wana haki kuliko wengine

NCHI yoyote inayolenga kuendeshwa kistaarabu huwa inajitungia sheria, kanuni na taratibu. Hizi hutumika kama nyenzo za kuhakikisha kuwa watu wanapata haki zao na kuwa haki ya mtu mmoja haitumiki kuvuruga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani