Watoto wa Marais wana haki kujiunga na siasa?
Katika mfululizo wa makala kuhusu uhuru leo tunaangalia uhuru katika kufanya shughuli za siasa nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTLB WANA SHAKA NA VYAMA VYA SIASA KWA KUTOWEKA MASLAHI NA HAKI KWA WATU WASIOONA
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/RAMSEYNOAHINTERVIEW-1024x1024.jpg)
RANSEY NOUAH AKATAA KUJIUNGA NA SIASA
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Wanaume wana haki ya asili - Nyangwine
10 years ago
Vijimambo29 Sep
Tibaigana: Wapinzani wana haki kuandamana
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2468240/highRes/839688/-/maxw/600/-/vlxppiz/-/Tibaigana.jpg)
Katika mahojiano maalumu na gazeti hili nyumbani kwake Buganguzi wilayani Muleba, Kamishna Tibaigana alisema suala la maandamano halikumsumbua kwa kuwa alielewa kuwa sheria inayaruhusu, hivyo alichokuwa akifanya ni kuwaita viongozi wa vyama vinavyotaka kuandamana na kufanya nao makubaliano ya namna maandamano hayo yanavyopaswa yafanywe kabla ya kuyaruhusu.“Pengine hiyo ndiyo sababu sikuwahi kushambuliwa kwa maneno ya kejeli au...
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Hatutachoka kusema, albino wana haki ya kuishi
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Bodaboda wasijione wana haki kuliko wengine
NCHI yoyote inayolenga kuendeshwa kistaarabu huwa inajitungia sheria, kanuni na taratibu. Hizi hutumika kama nyenzo za kuhakikisha kuwa watu wanapata haki zao na kuwa haki ya mtu mmoja haitumiki kuvuruga...