RANSEY NOUAH AKATAA KUJIUNGA NA SIASA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/RAMSEYNOAHINTERVIEW-1024x1024.jpg)
Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, Ramsey Nouah. Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, Ramsey Nouah amekaririwa akisema kuwa, yuko tofauti kabisa na wasanii wenzake wa nchini humo wanaokimbilia kwenye siasa kila kukicha na kuongeza kuwa mashabiki wake wasitegemee Ramsey kujiunga na siasa. Akifanyiwa mahojiano maalum na mtandao wa NET wa nchini humo, Ramsey alisema kuwa: ‘Sijui jinsi gani naweza kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Watoto wa Marais wana haki kujiunga na siasa?
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Ramsey Nouah kutua Kenya
NAIROBI, KENYA
MKALI wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, anatarajia kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya tamasha la utengenezaji wa filamu bora.
Msanii huyo aliyefanya vizuri kuitangaza tasnia ya filamu ndani na nje ya nchi yao na pia kujijengea upendo mkubwa kwa mashabiki wake hasa wa kike, anatarajiwa kutua nchini humo Desemba 18.
Ramsey Nouah amewataka wapenzi wa filamu nchini humo wajitokeze kwa wingi ili kupata elimu ya filamu itakayoambatana na mashindano ya mitindo...
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Marafiki hawatambui ndoa ya Ramsey Nouah
NA BADI MCHOMOLO
NDOA ya msanii maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah, haitambuliki kwa jamii japokuwa ana mke na watoto wawili.
Watu wengi nchini humo wanaamini kuwa msanii huyo ana mke ambaye anajulikana kwa jina la Emelia Philips, mama wa watoto wawili, lakini rafiki wa karibu na msanii huyo amesema kwamba wawili hao bado hawajafunga ndoa.
“Wangekuwa wamefunga ndoa lazima wangekuwa na cheti, lakini hadi leo hawana cheti ina maana hawa bado wanaishi kwa miaka yote bila ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NagjAJLGHH0ANDu0SKlw6-xQH9ehv3laMMKVBqcSbR1avqZHbuyQyw83haZ1xP9Kj4zvIXe*D5ynKA8zSM8iA*1K/RamseyNouah4.jpg?width=650)
RAMSEY NOUAH ALIA NA ‘MEDIA’
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HuMMOERHkUs/VdggBAYS7vI/AAAAAAAHzDk/FDKhIEakwMg/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/rita-dominic-ramsey-nouah-mauritius-1.jpg)
GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...