Washauri sheria kinzani za fedha kupitiwa upya
Mfumo wa Benki wa Ufichaji wa Siri za Wateja (Bank Secress) uliopo, umeelezwa kuwa unachangia uhamishaji wa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Afrika na kuwaacha Waafrika wakibaki maskini baada ya rasilimali zao kuhamishwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Dec
Sheria za elimu kupitiwa upya
OFISI ya Mrajisi wa Elimu Zanzibar imesema ipo katika mchakato wa kuzipitia baadhi ya sheria ambazo zinatoa mwanya zaidi kwa wazazi kuwaozesha watoto wa kike na kukosa haki na fursa ya kupata elimu ya lazima.
10 years ago
Habarileo02 Jan
Vyama vyataka mikataba Tanesco kupitiwa upya
SERIKALI imetakiwa kupitia upya mikataba ya umeme ili kuwasaidia wananchi waweze kunufaika na miradi ya umeme inayozalishwa nchini.
10 years ago
Habarileo26 Feb
Ulipaji pensheni kwa wazee kupitiwa upya
SERIKALI imesema itaupitia mchakato ambao utatoa nafasi kwa wazee kuanza kulipwa pensheni ya kila mwezi baada ya kutoa mchango wao mkubwa wa utumishi kazini.
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/Mmoja-wa-washiriki-wa-mjadala-wa-wazi-akichangia-mada.jpg)
WASHAURI KUUNDWA SHERIA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA BAJETI
11 years ago
Mwananchi22 May
Washauri kutafutwa vyanzo vipya vya fedha
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Dk Kigoda: Sheria za usafirishaji ziangaliwe upya
SERIKALI imesema ipo haja ya kuangalia baadhi ya sheria zilizowekwa katika sekta ya usafirishaji kwa kuwa nyingi ya sheria hizo zinafaidisha nchi jirani. Akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mizengo...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB19 Mar
VIDEO: Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
Mbunge wa Kigoma Mhe. Zitto Kabwe aiomba serikali kuangalia upya muswaada wa sheria ya kazi baada ya kubainisha mapungufu ya muswada huo.
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3509&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Habarileo23 Mar
Muswada sheria ya malipo ya fedha watua bungeni
SERIKALI itawasilisha muswada wa sheria ya mifumo ya malipo ya fedha ambayo itasimamia mifumo ya malipo ya elektroniki, ikiwemo utumaji wa fedha kwa kutumia simu za kiganjani.
5 years ago
Michuzi