IJUE SERA NA SHERIA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogJE UNAYAJUA MASHARTI YA UENDESHAJI WA BIASHARA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.?.
Kamishna wa Sekta ndogo ya Fedha Wizara ya Fedha na Mipango,Dkt Charles Mwamwaja alipokuwa akiwasilisha mada katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari kuhusu Elimu ya Sera ,Sheria na kanuni za huduma ndogo za Fedha,iliyofanyika hivi karibuni mjini Morogoro. Pamoja na mambo hayo,Kamishna Mwamwaja pia alieleza na kufafanua kuhusu Masharti ya uendeshaji wa biashara hiyo ya huduma ndogo za fedha kama yanavyoonesha hapa chini.
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s72-c/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWASILISHA MALALAMIKO YA WATEJA KWENYE TAASISI ZA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-v33f7WzH5vg/XsfOCAVseeI/AAAAAAALrSA/QUHBEKn6Mxww0uAbCM22iIrxAFs48iixwCLcBGAsYHQ/s640/022d499c192b831645d242240d3ba24b.png)
maombi yao ya kulipa mkopo mapema, kutozwa riba na gharama zingine kubwa wanapotaka kulipa mkopo mapema. Kutokana na malalamiko hayo, Benki Kuu ya Tanzania imewaagiza Watoa Huduma Ndogo za Fedha waliolalamikiwa kuchukuwa hatua zifuatazo:
1....
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wizara ya Fedha, IMF na WB wazungumzia sera fedha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile ambaye ni kiongozi wa ujumbe kutoka Tanzania na anawakilisha kama Gavana Mbadala (Alternate Governor) pamoja na Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu ambaye pia ni Gavana katika mikutano hii.Katika picha viongozi hao wakiwa wanafanya majumuisho ya majadiliano ya awali na kukubaliana cha kufanya kwa pamoja na viongozi kutoka IMF na WB kuhusiana na hali ya uchumi kwa maana ya sera za fedha na sera za mapato...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s72-c/dar%252Bport.jpg)
MAKALA YA SHERIA: IJUE NAMNA YA KUPATA MSAMAHA WA KODI NA USHURU BANDARINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-x19a3hd2EvM/VcAseKo150I/AAAAAAAHts0/RISIqPIdMyE/s640/dar%252Bport.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Mar
Waomba sheria ndogo kudhibiti wanaojifungulia majumbani
BAADHI ya wananchi wameshauri zitengenezwe sheria ndogo za kubana wanaokwepa kujifungulia hospitalini kwa kuamua kubaki nyumbani na kutumia wakunga wa jadi.
9 years ago
StarTV15 Nov
Uharibifu wa misitu katavi, tabora wachangia Uelewa ndogo wa sheria
Utafiti uliofanywa katika vijiji nane vya wilaya nne za mikoa ya Katavi na Tabora kuhusu uelewa wa sheria ndogo za kuhifadhi misitu umebaini uharibifu mkubwa wa misitu unaofanyika katika kipindi cha chaguzi mbalimbali za Chama na Serikali.
Timu ya watafiti kutoka chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine SUA imesema misitu mingi ya asili katika mikoa ya Tabora na Katavi uharibiwa kutokana na wananchi kuwa na uelewa duni wa sheria ndogo wa kulinda misitu ya vijiji.
Doka Gimbage Mbeyale na Dr....