Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHAURI KUUNDWA SHERIA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA BAJETI

Mmoja wa washiriki wa mjadala wa wazi akichangia mada. Mmoja wa washiriki akichangia mada kwenye mjadala wa wazi. Baadhi ya washiriki wa mjadala kutoka asasi anuai wakifuatilia mada. Baadhi ya washiriki wa mjadala kutoka asasi anuai wakifuatilia mada. Washiriki wa mjadala. Mwakilishi wa asasi ya Network for Vulnerables Rescue Foundation… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ashauri kuundwa chombo kusimamia Katiba

MJUMBE wa Kamati ya Afrika ya Wataalamu wa Haki na Ustawi wa Mtoto Dk Clement Mashamba ameshauri kuundwa kwa chombo maalum cha kusimamia utekelezaji wa Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Washauri bajeti Mpango Taifa wa Damu Salama

SERIKALI imeshauriwa kuongeza bajeti ya Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa damu salama linalovikabili vituo vingi vya kutolea huduma nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.Wanahabari wakichukua taarifa hiyoWapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KITUO cha Sheria na Haki za...

 

11 years ago

Mwananchi

Washauri sheria kinzani za fedha kupitiwa upya

Mfumo wa Benki wa Ufichaji wa Siri za Wateja (Bank Secress) uliopo, umeelezwa kuwa unachangia uhamishaji wa mabilioni ya fedha kutoka nchi za Afrika na kuwaacha Waafrika wakibaki maskini baada ya rasilimali zao kuhamishwa.

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...

 

9 years ago

Vijimambo

MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO

Maspika wa Mabunge kutoka mataifa mbalimbali duniani wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Maspika hao wamepitisha tamko ambalo linatambua na kupokea malengo na ajenda mpya za maendeleo endelevu, na kuyataka mabunge kuhakikisha utekelezaji malengo hayo yanayochukua nafasi ya MDGs. Mhe Ann Makinda ni wa tatu kutoka kushoto mstari wa mbele.Mhe. Spika akiwa na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, wakati alipofika ...

 

9 years ago

Michuzi

MABUNGE YATAKIWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MALENGO MAPYA YA MAENDELEO ENDELEVU

Na Mwandishi Maalum , New York Maspika wa Mabunge kutoka mataifa mbalimbali duniani, wamemaliza mkutano wao wa Nne kwa kupitisha tamko ambalo pamoja na mambo mengine, linayataka Mabunge kuhakikisha yanasimamia na kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa Malengo na Ajenda Mpya za Maendeleo Endelevu ( Ajenda 2030). Akihitimisha mkutano huo wa Maspika ambao hufanyika kila baada ya Miaka mitano, Rais wa Chama cha Kimataifa cha Mabunge ( IPU) Saber Chowdhur amesema, Maspika na...

 

5 years ago

Michuzi

UTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Babati yalia utekelezaji bajeti

HALMASHAURI ya Wilaya ya Babati, mkoani Manyara inakabiliwa na changamoto ya utekelezaji wa ukusanyaji wa mapato ya zaidi ya sh bil. 31 kwa bajeti ya mwaka 2013/2014 kutoka katika vyanzo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani