Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSerikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
======== ======== =======
Serikali kupitia...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI IMEWATAKA WANAOUZA BIDHAA ZA KUJIKINGA DHIDI YA CORONA-19, KUUZA KWA BEI ILIYOKO SOKONI
Katika kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa jana Waziri Innocent Bashungwa ametembelea viwanda vinavyozalisha sabuni na Vitakasa mikono vilivyoko Jijini Dar es Salaam kuangalia bei ya bidhaa hiyo na...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Familia ya Bob Marley kuuza bidhaa za Bangi
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Katomu Solar kuuza bidhaa kwa mtandao
“KAMPUNI yangu kwa sasa inatoa huduma ambazo ni za kisasa na zenye uhakika kwa kuwapelekea bidhaa wateja hadi majumbani mwao bila kujali umbali wa mahali anapoishi kutoka katika maduka yetu...
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Ruksa kuuza bidhaa India bila kulipia ushuru
9 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NCHINI KUTEMBEA WAGENI WA KIMATAIFA MAKUMBUSHO YA TAIFA
10 years ago
Habarileo27 Feb
Serikali yakamilisha usambazaji wa Katiba
SERIKALI imesema imekamilisha usambazaji wa Katiba Inayopendekezwa kwa halmashauri na mamlaka za miji 169 nchi nzima.
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza
Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.
Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry, akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Aibu Tanzania kuuza malighafi nje
MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.
Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.
Alisema si lazima mataifa...