Serikali yakamilisha usambazaji wa Katiba
SERIKALI imesema imekamilisha usambazaji wa Katiba Inayopendekezwa kwa halmashauri na mamlaka za miji 169 nchi nzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Feb
MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa
10 years ago
GPLWIZARA YATOA TAMKO JUU YA USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
11 years ago
Habarileo20 Jul
Serikali yavuka lengo usambazaji umeme
SERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jtIZilx7xjE/VR5D8qMqbLI/AAAAAAAHPEU/8mMi23sE7eE/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAFADHILI USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jtIZilx7xjE/VR5D8qMqbLI/AAAAAAAHPEU/8mMi23sE7eE/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
Aidha, mkakati huo wa kusambaza Katiba...
11 years ago
Dewji Blog28 Jul
Serikali yasisitiza utekelezaji wa Sheria ya usambazaji na uuzaji wa kazi za Filamu na Muziki
Mkurugenzi Sera na Utafiti wa TRA Bw. Tonedeus Muganyizi akizungumza na wana umoja wa uingizaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki zinazotoka nchi za nje wakati wa kikao cha wafanyabiashara hao na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali wakijadiliana wakati wa kikao cha wafanyabiashara na asasi zinazosimamia usambazaji na uuzaji wa kazi za filamu na muziki jana jijini Dar es Salaam.
Wana umoja wa kuingiza na kuuza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-913UPXznrzM/U9N8R5_XzWI/AAAAAAAF6g8/psqL1V9Sa3o/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Serikali yasisitiza utekelezaji wa Sheria ya usambazaji na uuzaji wa kazi za Filamu na Muziki.
![](http://1.bp.blogspot.com/-913UPXznrzM/U9N8R5_XzWI/AAAAAAAF6g8/psqL1V9Sa3o/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8qicbhar5PE/U9N8SrvM8QI/AAAAAAAF6hA/1i4Q_PkXETY/s1600/unnamed+(36).jpg)
Na Genofeva Matemu – Afisa...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7kzKZ5TuwqI/VJQ3nweXiHI/AAAAAAAG4dA/dVoJ0Nlel24/s72-c/Takwimu%2B-1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU ZA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI LAONGEZEKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kzKZ5TuwqI/VJQ3nweXiHI/AAAAAAAG4dA/dVoJ0Nlel24/s1600/Takwimu%2B-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGS3kQwrhrY/VJQ3n6cvYlI/AAAAAAAG4c8/QLK7bFGfcYo/s1600/Takwimu%2Bna%2B2.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI