Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa

>Hatimaye nakala za Katiba Inayopendekezwa zimeanza kusambazwa katika kata zote 3,800 nchini ili kuwawezesha wananchi kuelewa vyema maudhui yaliyomo kabla ya kuipigia kura ya maoni ya kuikubali au kuikataa ifikapo Aprili 30, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yakamilisha usambazaji wa Katiba

SERIKALI imesema imekamilisha usambazaji wa Katiba Inayopendekezwa kwa halmashauri na mamlaka za miji 169 nchi nzima.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Suala la matumizi ya EFD lisichukuliwe kisiasa

>Tangu Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na timu yake waanze ziara ya kikazi katika baadhi ya mikoa wiki iliyopita, wamesikika wakitoa kauli katika mikutano ya hadhara ambazo zimechukuliwa na baadhi ya wananchi kwamba zinaidhoofisha Serikali ya chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Uamuzi wa kisiasa unagharimu roho za watu

>Juzi Serikali ilifanikiwa kumaliza mgomo wa madereva wa mabasi ya masafa marefu na mafupi baada ya kutoa matamko ya kufuta kuanza kutumika kwa kanuni mpya ambazo zililenga kulinda usalama wa wasafiri kwa kuzuia ajali za mara kwa mara.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Taarifa hii ya TCAA isiwe ya kisiasa

>Wiki hii, Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetoa taarifa kwa umma kuhusu matumizi ya helikopta katika maeneo ya hadhara na mikusanyiko ya watu.

 

10 years ago

GPL

WIZARA YATOA TAMKO JUU YA USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari Elimu na Mawasiliano katika Wizara ya Katiba na Sheria, Farida Khalfan, akitoa tamko. Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria ,Martha Komba (katikati), akionyesha muundo wa katiba inayopendekezwa.  Kulia ni Ofisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria, Said Benjamin. Khalfan na Komba wakiandika maswali…

 

10 years ago

Michuzi

UMOJA WA MATAIFA WAFADHILI USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUTI

Pamoja na Tume ya  Taifa ya Uchaguzi kuahirisha  tarehe ya kupiga kura ya maoni, Shirika la Kimataifa linaloshughulikia Elimu na Utamaduni (UNESCO), kwa kushirikiana na Kampuni ya Focus Media pamoja na Mtandao wa radio za jamii  (COMNETA), limeamua kusambaza Katiba inayopendekezwa kwa njia ya sauti nchi nzima, ili wananchi wapate elimu  kuhusu maudhui yaliyomo ndani ya Katiba na kufanya maamuzi sahihi pindi siku ya kupiga kura itakapowadia. 
Aidha, mkakati huo wa kusambaza Katiba...

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba zaanza kusambazwa Mbeya

Wakati viongozi wa Kata za Mbalizi, Halmashauri ya Mbeya wakidai kupokea nakala chache za Katiba Iliyopendekezwa, uongozi wa halmashauri hiyo umesema umegawa nakala saba kwa kila kitongoji.

 

10 years ago

Habarileo

Nakala 440,000 za Katiba zasambazwa

JUMLA ya nakala 443,050 za Katiba Inayopendekezwa, zimesambazwa katika taasisi 70 za serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania

Aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Japan, Salome Sijaona amesema mchakato wa Katiba hautakiwi kusubiri wananchi wasambaziwe nakala ya Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa Watanzania hawapendi kusoma na badala yake wanapenda “taarifa fulani fulani” tu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani