MAONI: Suala la matumizi ya EFD lisichukuliwe kisiasa
>Tangu Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na timu yake waanze ziara ya kikazi katika baadhi ya mikoa wiki iliyopita, wamesikika wakitoa kauli katika mikutano ya hadhara ambazo zimechukuliwa na baadhi ya wananchi kwamba zinaidhoofisha Serikali ya chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Mgomo matumizi ya EFD waendelea
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)
Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.
Baadhi ya Waandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma
Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.
Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...
10 years ago
Michuzi20 Jun
MH.WAZIRI WA FEDHA SAADA M.SALUM AFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI WA MASHINE ZA EFD KATIKA MADUKA MKOANI DODOMA.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1249.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2173.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3143.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Feb
MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa
10 years ago
Mwananchi10 Jul
MAONI: Taarifa hii ya TCAA isiwe ya kisiasa
10 years ago
Mwananchi12 Apr
MAONI: Uamuzi wa kisiasa unagharimu roho za watu
9 years ago
Michuzi14 Sep
Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”
Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...