Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Uamuzi wa kisiasa unagharimu roho za watu

>Juzi Serikali ilifanikiwa kumaliza mgomo wa madereva wa mabasi ya masafa marefu na mafupi baada ya kutoa matamko ya kufuta kuanza kutumika kwa kanuni mpya ambazo zililenga kulinda usalama wa wasafiri kwa kuzuia ajali za mara kwa mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Katiba imeshindikana, ufanyike uamuzi mgumu

>Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza shughuli zake mjini Dodoma mapema mwaka huu, zilijitokeza dalili za kuwapo  uwezekano mkubwa wa Bunge hilo kushindwa kutunga Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Taarifa hii ya TCAA isiwe ya kisiasa

>Wiki hii, Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetoa taarifa kwa umma kuhusu matumizi ya helikopta katika maeneo ya hadhara na mikusanyiko ya watu.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Suala la matumizi ya EFD lisichukuliwe kisiasa

>Tangu Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na timu yake waanze ziara ya kikazi katika baadhi ya mikoa wiki iliyopita, wamesikika wakitoa kauli katika mikutano ya hadhara ambazo zimechukuliwa na baadhi ya wananchi kwamba zinaidhoofisha Serikali ya chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Usambazaji nakala za Katiba usifanywe kisiasa

>Hatimaye nakala za Katiba Inayopendekezwa zimeanza kusambazwa katika kata zote 3,800 nchini ili kuwawezesha wananchi kuelewa vyema maudhui yaliyomo kabla ya kuipigia kura ya maoni ya kuikubali au kuikataa ifikapo Aprili 30, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini madereva wamezidi

Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa hakuna ajuaye labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini, madereva wamezidi

Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa, basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa, hakuna ajuaye, labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

‘Mabadiliko ya watu yanahujumiwa kisiasa’

WAKATI wanasiasa wakipiga kampeni kushawishi Watanzania wawachague, ili wapate fursa ya kuingia madarakani kuongoza wananchi na rasilimali za nchi, kwa madai viongozi waliopita hawajafanya lolote katika miaka 54 tangu Uhuru, taarifa na ripoti rasmi zimeonesha hali ilivyo ni tofauti na kauli hizo.

 

10 years ago

Bongo5

Utafiti waitaja Tanzania miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya Afrika!

Kwa mujibu wa ripoti ya World Giving Index 2014, Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya barani Afrika. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliodhaminiwa na Charities Aid Foundation (CAF) na kufanywa na kampuni ya utafiti ya Gallup na kuhusisha nchi 135 duniani kote. Data hizo zilikusanywa kuanzia mwaka 2013. Tanzania ilikamata […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Usawa wa kijinsia ni mbeleko ya kubeba watu kisiasa?

BINAFSI mimi naamini katika usawa wa binadamu. Ingawa katika kuamini usawa huo natofautiana na wengi kwamba usawa wa binadamu uko katika kutaka yale yote yanayofanywa na jinsia moja yafanywe pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani