‘Sera ya wazee itungiwe sheria’
WANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu wameomba uongozi wa chama hicho ngazi ya taifa kwenda wilayani humo kutatua mgogoro uliopo baina ya viongozi wa chama ngazi ya mkoa na wilaya. Wakizungumza na waandishi wa habari jana mjini Maswa, walisema mgogoro uliopo kwa sasa ni kati ya viongozi wa wilaya waliosimamishwa na viongozi wa wilaya walioteuliwa kukaimu nafasi hizo huku uongozi wa mkoa wa Simiyu ikiwa hautambui mabadiliko hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 May
‘Sera zisizotekelezwa zawatesa wazee, watoto’
SHIRIKA la Twaweza limesema wazee na watoto ndio waathirika wakubwa wa sera za serikali ambazo hazitekelezwi. Hayo yalibainisha jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa shirika hilo Rakesh Rajani, alipokuwa...
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...