Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Congo waenzi wanamuziki wao

Raia wa Congo wamkumbuka Franco Luambo Makiadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao

mtoto wa mwanamuziki wa zamaniNA JANETH MAPUNDA (MSPS)

BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.

Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...

 

10 years ago

GPL

NCHI ZA JIRANI NA AFRIKA KUSINI ZAWEKA MIKAKATI YA KUWAONDOA RAIA WAO NCHINI HUMO

Raia wa Afrika Kusini wakiwa wameshika silaha wakati wa vurugu za kuwashambulia raia wa kigeni nchini humo. Polisi wa Afrika Kusini wakijaribu kutuliza ghasia. Raia wa Afrika kusini akiwa amejibanza na kisu…

 

10 years ago

Habarileo

Chadema waenzi Nyerere kwa kikao Kamati Kuu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemuenzi Mwalimu Julius Nyerere kwa kufanya kikao maalumu cha Kamati Kuu ya chama hicho na kuomba wajumbe wake kutambua umuhimu wa siku hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014

 Maura Mwingira, Charge d' affaires a.i wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akipokea kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa ( DPKO ) Bw. Harves Ladsous, Medali Maalum ya Dag Hammarskjold ambazo wametunukiwa Mashujaa wanne walinda Amani kutoka JWTZ ambao walipoteza maisha mwaka 2014 wakati wakitekeleza majukumu yao. Umoja wa Mataifa umeitenga Mei 29 kama siku ya Kimataifa ya kuwakumbuka na kuwaenzi walinda amani ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi

MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani