Utetezi haki za wazee kugharimu mil. 828/-
SHIRIKA la Kimataifa la Help Age Tanzania kwa kushirikiana na Help Age Germany na Wizara ya Maendeleo ya Kiuchumi ya Ujerumani (BMZ), wanatarajia kutumia zaidi ya sh milioni 828.7 kufanikisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Zahanati kugharimu mil. 150/-
MANISPAA ya Kinondoni imetenga sh milioni 150 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika Mtaa wa Saranga uliopo katika Jimbo la Ubungo. Taarifa hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Zitto atwaa tuzo utetezi haki hifadhi ya jamii
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), ameibuka mwanasiasa wa kwanza barani Afrika kwa kutwaa Tuzo ya Mtetezi wa Haki ya Hifadhi ya Jamii.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Umoja wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya Nchi za Afrika Mashariki na Kati (ECASSA), ilieleza mbunge huyo aliibuka mshindi.
Zitto anatarajiwa kukabidhiwa tuzo yake hiyo katika sherehe rasmi iliyopangwa kufanyika Oktoba...
11 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Bagamoyo chawaasa wahitimu wa kozi ya Utetezi wa Haki za Binadamu
Gachichi Gachere akipokea cheti kutoka kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Alphonce Gura.
Mariamu Zablon akipokea cheti kutoka kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Chama...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Wazee wanahitaji haki wanayostahili
“KESHO Juni 15 ni siku ya Kupambana na Manyanyaso na Dhuluma ya Wazee Ulimwenguni… hivyo tusiwahukumu wazee katika hali ya kutojielewa kwa kuwaua kwa kuhisi ni wachawi.” Hayo ni maelezo...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao
NA JANETH MAPUNDA (MSPS)
BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.
Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...
9 years ago
MichuziSERIKALI YAMTAKA KILA MWANAJAMII KUTAMBUA HAKI ZA WAZEE NA KUWATHAMINI
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt, Donan Mmbando (Pichani) kupitia tamko la wizara hiyo kuhusu maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wazee duniani itakayofanyika kesho Oktoba Mosi ,mwaka huu wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni...
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
10 years ago
GPLVijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais