MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUMRUDIA MPENZI WA ZAMANI!
![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZZ2UmS*c7VEeODz*BFzqUetMKz919kh6Ei6vHZ3WYXx*ud7Vx8j9DWnd3Sb*uaC8OgcyIzXqycMoRv6v4mECZt/mahaba.jpg)
Nisiku nyingine tena tunakutana katika safu hii nikiamini umzima na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo, amenijaalia afya njema na nguvu za kutosha kiasi cha kuweza kukuandikia wewe kile ambacho naamini kina umuhimu katika maisha yako ya kimapenzi. Leo ningependa tuzungumzie mambo ya kuzingatia kabla ya kumrudia mpenzi ambaye aidha mmeachana, yupo mbali na wewe au...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mambo ya kuzingatia kabla ya kukopa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2SMBA-TmbCMAiYG6VLJzQge1RjpGxw0-0hKRyDBLGl9KQTyVokqA0EHwMd6FXKgUH-ZPuRfUyTVR3X-tUBhVqM8/pregnantwoman.jpg?width=650)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUWA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Lupita ampongeza mpenzi wake wa zamani
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa filamu nchini Kenya, Lupita Nyong’o, amemtumia salamu za pongezi mpenzi wake wa zamani, Alex Konstantara kwa kuwa anatarajiwa kuitwa baba.
Awali Konstantara alikuwa na uhusiano na Lupita, lakini waliachana kabla hawajapata mtoto na Alex akaamua kufunga ndoa na Lizz Njagah.
“Ni hatua mojawapo ya maisha ya kukuza kizazi, nakutakia kila la heri upate mtoto salama na mwenye afya njema,” aliandika Lupita baada ya mpenzi wake huyo kuweka wazi kwamba anatarajia mtoto hivi...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Je kutupa picha za mpenzi wa zamani ni haki ?
5 years ago
BBCSwahili20 May
Aliyemfuatilia mpenzi wake wa zamani mtandaoni ahukumiwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9LWRhYiZN3jaZS-dHcEMeQ2jMdiTnVzgufLHlPqGwImSjiaupCAqWQar*4xsWc6*uaP*hh9IGM2C-*NfVFkkzQA/Dbanj1.jpg?width=650)
D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mambo muhimu ya kuzingatia uzazi salama