‘Wananchi washiriki vita ya ujangili’
KAMATI Tendaji ya Umoja wa Wabunge wa Uhifadhi na Matumizi Endelevu ya Wanyamapori imetaka kuwepo kwa ushirikishwaji wa kutosha wa wananchi waishio karibu na hifadhi ili kudhibiti ujangili. Wakizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
RIPOTI MAALUM: Wanafunzi shule ya msingi washiriki ujangili
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s72-c/NYALANDU9.jpg)
VITA YA UJANGILI
Serikali yapewa ndege ya kisasa
NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s1600/NYALANDU9.jpg)
Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
‘Ujangili ni vita ya pamoja’
10 years ago
Mwananchi10 Nov
‘Vita ya ujangili inataka dhamira’
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Kikwete:Vita dhidi ya ujangili
11 years ago
Habarileo12 May
Vita ya ujangili sasa kimataifa
TANZANIA imesaini mikataba minne na Jumuiya za Kimataifa na wadau wa kuhifadhi mazingira, kwa ajili ya kupambana na ujangili na uhalifu wa wanyamapori katika hifadhi na mbuga za wanyama Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Serikali yasisitizwa vita vya ujangili
SERIKALI imetakiwa kudhibiti ujangili kama ilivyo kwa uhalifu wa ujambazi ikiwa kweli kuna dhamira ya dhati kulinda wanyama wanaopotea kila mwaka hususani tembo na faru. Wito huo umetolewa na Mratibu...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Tanzania, China kupiga vita ujangili
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imesema itahakikisha inasaidiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ujangili, ambapo wametoa msaada wa mashine mbili za kukagua makontena katika bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar.