Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yasisitizwa vita vya ujangili

SERIKALI imetakiwa kudhibiti ujangili kama ilivyo kwa uhalifu wa ujambazi ikiwa kweli kuna dhamira ya dhati kulinda wanyama wanaopotea kila mwaka hususani tembo na faru. Wito huo umetolewa na Mratibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu ajikana vita vya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameikana kauli yake ya Februari 27 mwaka huu, kwamba Serikali ina zaidi ya majina 320 ya majangili na kwamba wangeyaweka hadharani muda wowote,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali, viongozi wa dini kupiga vita ujangili

WIZARA ya Maliasili na Utalii imekutana na viongozi wa dini nchini kwa lengo la kupaza sauti ya pamoja katika vita dhidi ya ujangili na uhifadhi wa wanyamapori na biashara ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mantra yasaini makubaliano na Serikali kupiga vita ujangili wa ndovu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) na Chris Sattler, Afisa Mtendaji Mkuu wa Uranium One, (wa pili kushoto) wakisaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ambao inairuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya urani ya Mantra Tanzania kuwekeza dola za Kimarekani 800,000 katika mwaka 2014 itakayo tumika katika shughuli za kupambana na ujangili katika mbuga za wanyanya nchini Tanzania. Aliyesimama ni Galina Molchanova, Makamu wa Rais wa kamapuni ya Mantra Tanzania. Hafla hiyo fupi...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yasisitizwa kudhibiti nauli Dar

ABIRIA wa mabasi yaendayo mikoani wameiomba Serikali kusimamia upandaji holela wa mabasi yaendayo mikoani katika kipindi hiki cha mwishoni mwa mwaka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

11 years ago

Tanzania Daima

VITA VYA URAIS 2015… Serikali yagawanyika

MHEMUKO wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo viongozi wa serikali kukimbilia kutangaza nia ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete mwakani, umezigawa taasisi mbalimbali za serikali, binafsi na umma hivyo...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI UINGEREZA KUFAFANUA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (kushoto) akihojiwa na Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha CCTV Zhang He jijini London ambapo alipata nafasi ya kuzungumzia juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika Vita Dhidi ya Ujangili nchini na Changamoto zinazohitaji kuungwa mkono na Jumuiya ya Kimataifa.

 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akipongezwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Wanyamapori Paul Sarakikya mara baada ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

VITA YA UJANGILI


Serikali yapewa  ndege ya kisasa

NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani