Serikali yasisitizwa vita vya ujangili
SERIKALI imetakiwa kudhibiti ujangili kama ilivyo kwa uhalifu wa ujambazi ikiwa kweli kuna dhamira ya dhati kulinda wanyama wanaopotea kila mwaka hususani tembo na faru. Wito huo umetolewa na Mratibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Nyalandu ajikana vita vya ujangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameikana kauli yake ya Februari 27 mwaka huu, kwamba Serikali ina zaidi ya majina 320 ya majangili na kwamba wangeyaweka hadharani muda wowote,...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Serikali, viongozi wa dini kupiga vita ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imekutana na viongozi wa dini nchini kwa lengo la kupaza sauti ya pamoja katika vita dhidi ya ujangili na uhifadhi wa wanyamapori na biashara ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s72-c/Mantra+1.jpg)
Mantra yasaini makubaliano na Serikali kupiga vita ujangili wa ndovu
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mplGyKITBg/U3KE6jtP55I/AAAAAAACg_E/V4AGzp_jICA/s1600/Mantra+1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
10 years ago
Habarileo12 Dec
Serikali yasisitizwa kudhibiti nauli Dar
ABIRIA wa mabasi yaendayo mikoani wameiomba Serikali kusimamia upandaji holela wa mabasi yaendayo mikoani katika kipindi hiki cha mwishoni mwa mwaka.
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
VITA VYA URAIS 2015… Serikali yagawanyika
MHEMUKO wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo viongozi wa serikali kukimbilia kutangaza nia ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete mwakani, umezigawa taasisi mbalimbali za serikali, binafsi na umma hivyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EjYK-Qik6zk/UwJaIYBbT-I/AAAAAAAFNrg/0LVj2uZC2Ss/s72-c/unnamed+(41).jpg)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI UINGEREZA KUFAFANUA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-EjYK-Qik6zk/UwJaIYBbT-I/AAAAAAAFNrg/0LVj2uZC2Ss/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PBvXloZKkYU/UwJaICcIozI/AAAAAAAFNrU/sTftz_FkrMc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s72-c/NYALANDU9.jpg)
VITA YA UJANGILI
Serikali yapewa ndege ya kisasa
NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PtUo0yAlVyA/VQhKlpXTidI/AAAAAAAACAw/s4Z0wKsvD5g/s1600/NYALANDU9.jpg)
Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...