Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zacharia: Niliomba utumishi kwa wananchi, siyo ubosi

Kata ya Endiamtu iliyopo Mkoa wa Manyara, ndiyo inayoongoza kwa kuwa na maendeleo wilayani Simanjiro. Kata hiyo yenye idadi ya watu 29,000 ina shule saba za msingi, ambapo tatu ni za Serikali na nne za watu binafsi, ina shule moja ya sekondari na ina kituo kimoja cha afya na zahanati moja ya taasisi ya kidini

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Vikwazo wanavyokutana navyo wanaopewa ubosi kwa mara ya kwanza

Hii haishangazi sana kuona watu ambao wanapata cheo kwa mara ya kwanza kukutana na vikwazo vya hapa na pale. Utafiti uliofanya na watu fulani umebaini kuwa kinachotokea ni kwamba wengi au karibu asilimia 50 ya mabosi wapya kabisa hawajawahi kufanyiwa mafunzo ya kupata nafasi hizo kama mameneja. Na hapa soma uone vyanzo vya vikwazo vyao […]

 

5 years ago

Michuzi

CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE



Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo

Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha


Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani

>Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini   mwaka 1992, hali ya kisiasa imekuwa ni ya mvurugano. Watawala, CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani.

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi wafurahia huduma za NHIF maonesho ya Utumishi wa Umma

Meneja wa Masoko na Elimu kwa Umma, Anjela Mziray na Ofisa Matekelezo, Geofrey Tumaini wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakitoa ufafanuzi kwa wananchi waliotembelea banda la Mfuko katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.  Maofisa wa NHIF wakiongozwa na Meneja wa Mkoa wa Temeke, Ellentruda Mbogoro (kushoto) wakichambua na kuhakiki fomu za wanachama waliowasilisha fomu za usajili kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya matibabu. Ofisa Mifumo Habari wa NHIF, Donald...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyambui: Niliomba nifungwe miaka 100 jela

Kocha wa timu ya taifa ya riadha na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amesema aliomba afungwe miakba 100 jela kama ikibainika anajihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya.

 

10 years ago

Vijimambo

Wananchi wazidi kumiminika Banda la Mambo ya Nje Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

Afisa kutoka Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Bi. Asiya Hamdani akitoa maelezo kuhusu majukumu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa Wananchi waliokuja kutembelea Banda la Wizara lililopo katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni "Utumishi wa Umma katika Bara la Afrika ni Chachu ya Kuwawezesha Wanawake, Kuongeza Ubunifu na Kuboresha Utoaji Huduma Kwa Umma". Afisa...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka minne imepita :Hatujui walipo Lemy na Zacharia

Ni msiba usiofutika. Pengine ndiyo maneno yanayofaa kuelezea tukio la familia ya watoto wenye ulemavu wa ngozi, Lemy Juma (12) na Zacharia Juma (6) waliotekwa na watu wasiojulikana miaka minane iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka minane imepita: hatujui walipo Lemy na Zacharia(2)

 Juma Charles anaendelea kueleza  kuwa baada ya tukio hilo alidhani watoto wake walipotea tu kawaida kutokana na kukimbilia kusikojulikana kwa hofu, lakini kadri siku zilivyozidi na matukio ya utekaji na mauaji ya albino kuzidi kuongezeka, hilo liliwatia hofu.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU UTUMISHI GEORGE YAMBESI ASTAAFU UTUMISHI WA UMMA

 Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto) akikabidhi ofisi kwa Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw. Hab Mkwizu baada ya kustaafu Utumishi wa Umma.Makabidhiano hayo yamefanyika ofisini kwake.Katibu Mkuu -Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akipongezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Bw. Aloyce Msigwa, (kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Hab Mkwizu. Bw. Yambesi amestaafu Utumishi wa Umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani