Miaka minne imepita :Hatujui walipo Lemy na Zacharia
Ni msiba usiofutika. Pengine ndiyo maneno yanayofaa kuelezea tukio la familia ya watoto wenye ulemavu wa ngozi, Lemy Juma (12) na Zacharia Juma (6) waliotekwa na watu wasiojulikana miaka minane iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Miaka minane imepita: hatujui walipo Lemy na Zacharia(2)
10 years ago
GPL
LUCKY DUBE; MIAKA 8 IMEPITA, BADO ANAKUMBUKWA
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Miaka 50 ya michezo ya Afrika, Tanzania imepita mabonde, milima
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 42
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli. Askari hao waliambiwa kama watakuta maiti zao watoke nazo.
Baada ya mawasilino kufanyika, gari la hospitali likawasili, Waandishi wa habari na wananchi walikuwa wametuzonga wakituhoji maswali lakini polisi waliwaondoa.
Tukapakiwa kwenye gari la hospitali na kupelekwa Hospitali ya Bombo ya jijini Tanga.
SASA ENDELEA…
Wakati tunafikishwa katika...
11 years ago
GPL
AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Mtoto wa miaka minne atekwa Mwanza
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 43
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Wewe ulimuona kwa macho yako huyo jini?”
“Ndiyo nilimuona”
“Yukoje?”
“Ni kama binadamu lakini anatisha.”
“Unajua ninakuuliza maswali mengi kwa sababu tukio lenu limehusisha vifo vya watu wengi. Kwa hiyo ni lazima tupate maelezo ya kina.”
SASA ENDELEA…
Kachero huyo aliendelea kuniambia.
“Tunataka tupate maelezo yanayoeleweka ili tuweze kuyaweka katika jalada la uchunguzi wa vifo vya watu wale. Na hata kama sisi wapelelezaji tunaulizwa nini kiliwaua watu wale,...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…
“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...
11 years ago
GPL
NJEMBA YAMBAKA MTOTO WA MIAKA MINNE