Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 43

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Wewe ulimuona kwa macho yako huyo jini?”
“Ndiyo nilimuona”
“Yukoje?”

“Ni kama binadamu lakini anatisha.”
“Unajua ninakuuliza maswali mengi kwa sababu tukio lenu limehusisha vifo vya watu wengi. Kwa hiyo ni lazima tupate maelezo ya kina.”
SASA ENDELEA…

Kachero huyo aliendelea kuniambia.

“Tunataka tupate maelezo yanayoeleweka ili tuweze kuyaweka katika jalada la uchunguzi wa vifo vya watu wale. Na hata kama sisi wapelelezaji tunaulizwa nini kiliwaua watu wale,...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 42

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli. Askari hao waliambiwa kama watakuta maiti zao watoke nazo.

Baada ya mawasilino kufanyika, gari la hospitali likawasili, Waandishi wa habari na wananchi walikuwa wametuzonga wakituhoji maswali lakini polisi waliwaondoa.
Tukapakiwa kwenye gari la hospitali na kupelekwa Hospitali ya Bombo ya jijini Tanga.
SASA ENDELEA…

Wakati tunafikishwa katika...

 

9 years ago

Global Publishers

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…

“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI KISSA PHARMACY LTD WATEMBELEA MAPANGO YA AMBONI TANGA(AMBONI CAVES)


Wafanyakazi wa Kissa Pharmacy Ltd  Pharmaceuticals Whole Sale And Retali Mbeya Tz wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika eneo la mapango ya Amboni (AMBANI CAVES ) kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya kihistoria ndani ya Mapango hayo sanjali na kuhamasisha utalii wa ndani.Picha na Emanuel Madafa Baba JJ
Wafanyakazi Kissa Pharmacy wakisikiliza kwa makini maelezo ya mmoja wa watoa huduma katika mapango hayo Ndugu Allan Yohana kabla ya kuanza rasmi shughuli ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Operesheni Mapango ya Amboni yakamilika

>Vikosi vya majeshi  vilivyokuwa vimeungana kukabiliana na tishio la majambazi katika Mapango ya Amboni, jijini Tanga vimekamilisha siku ya tatu za operesheni maalumu ya upekuzi ndani ya mapango hayo.

 

11 years ago

Habarileo

Ufaransa kutangaza mapango ya Amboni

BALOZI wa Ufaransa nchini, Marcel Escure ameahidi kuwa nchi yake itashirikiana kwa karibu na Tanzania chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kulifanya eneo la Mapango ya Amboni mkoani Tanga kuwa eneo maalumu la utalii na lenye kuvutia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Escure avutiwa mapango ya Amboni

BALOZI wa Ufaransa nchini, Marcel Escure, ameahidi nchi yake itashirikiana kwa karibu na Wizara ya Maliasili na Utalii kulifanya eneo la Mapango ya Amboni, mkoani Tanga kuwa maalumu la utalii...

 

10 years ago

Michuzi

Mwandani wa: Mapango ya Amboni mkoani Tanga

Na Sultani Kipingo Mapango maarufu ya Amboni mkoani Tanga ni eneo kubwa kuliko yote lenye majabali ya chokaa katika Afrika Mshariki. Yapo takriban kilomita nane hivi Kaskazini mwa mji wa Tanga, njia ya kuelekea huko ikichepuka toka barabara mkuu ya Tanga-Mombasa. Kumbukumbu zilizopo zinaonesha mapango hayo yalizuka kiasi cha miaka milioni 150 iliyopita, katika zama za mijusi wakubwa wajulikanao kama Jurassic age. Eneo lake lina kiloita za mraba 234, na kwa mujibu wa watafiti, eneo hilo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mapango ya Amboni hatarini, yageuzwa machimbo ya mawe

Huwezi kupata uhondo kwa kusimuliwa pekee, kilichopo katika Mapango ya Amboni kinavutia ukiyaona kwa macho yako mwenyewe. Ni maajabu ya Mwenyezi Mungu yaliyosheheni ndani ya kivutio hicho cha utalii.

 

10 years ago

CloudsFM

Watanzania watakiwa kutembelea mapango ya Amboni,Tanga

Watanzania wametakiwa kutembelea kutembelea (kutalii) kwenye mapango ya Amboni yaliyopo nje kidogo ya mji wa Tanga,kwani idadi imepungua kutokana na vyombo vya habari hasa magazeti kupotosha kuwa matukio ya kigaidi yaliyotokea hivi karibuni yalitokea maeneo hayo ya mapango.

Muongozaji wa Watalii katika mapango hayo aliyejulikana kwa jina la Bw.Tabu akizungumza na mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM,Saidi Bonge alipotembelea katika mapango hayo alisema kuwa tangu magazeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani