Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 May
Siri ya watoto kupotea, kuibwa yabainika
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Siri ya wizi mafuta ya transfoma yabainika
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Siri utupaji viungo vya maiti yabainika
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba avuliwa uanachama Z,bar
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kura ya siri, wazi kaa la moto Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: CCM ina ajenda ya siri
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kama chama tawala kwa muda mrefu Tanzania, kimejizatiti kimkakati kudhibiti mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya! Dhamira ya CCM juu ya uandikaji wa Katiba mpya umejikita...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Kura ya siri ama la? ‘Amueni wenyewe,’ Mahalu awaambia wajumbe #Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi24 Jun
BARAZANI: Waziri atishia kujiuzulu Z’bar