Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARAZANI: Waziri atishia kujiuzulu Z’bar

>Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Issa Haji Ussi amesema yuko tayari kuachia nafasi yake endapo itagundulika kauli zake zinadanganya na kushusha utendaji wa Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM atishia kujiuzulu

MBUNGE wa Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Amar (CCM), ametishia kujiuzulu ikiwa serikali haitawawajibisha watendaji wa Wizara ya Maji, na wale wa halmashauri ya wilaya hiyo wanaotuhumiwa kuhujumu mamilioni ya fedha...

 

10 years ago

Mtanzania

Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman

NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA

SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...

 

11 years ago

Mwananchi

IMANI: Waziri atishia kulifuta Kanisa la Moravian

>Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe ametishia kulifuta Kanisa la Moravian kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayolikumba.

 

5 years ago

BBCSwahili

Diane Gashumba: Ni waziri wa tatu kujiuzulu nchini Rwanda

Waziri wa Afya nchini Rwanda Dkt. Diane Gashumba amejiuzulu kulingana na afisi ya waziri mkuu nchini humo.

 

10 years ago

GPL

ZITTO AMTAKA WAZIRI NYALANDU KUJIUZULU AKISHINDWA KUTOA TANGAZO GAZETINI LEO JIONI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe. MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ifikapo leo jioni awe ametoa tangazo katika gazeti la serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli kwenye hifadhi la sivyo ajiuzulu cheo chake. Sehemu ya ripoti inayoonyesha serikali inavyopoteza fedha nyingi kwa kukosa malipo ya tozo. Zitto ameyasema hayo leo wakati akichangia kwenye… ...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri- Fedha za kodi zinabaki Z'bar

WAZIRI wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Saada Mkuya Salum amesema fedha zote zinazokusanywa Zanzibar zinazohusu kodi, zinabakia Zanzibar kwa matumizi ya wananchi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri akiri mashine za figo mbovu Z’bar

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imekiri kuwa hospitali za Serikali zinakabiliwa na ukosefu wa mashine za kusafisha figo (dalaysis), hali inayolazimisha wagonjwa kupelekwa nje.

 

10 years ago

Mtanzania

Waziri wa Z’bar leo kuongoza maandamano ya CUF Dar

MINOLTA DIGITAL CAMERANA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza maandamano yanayofanyika leo jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Waziri wa Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Juma Duni Haji.
Duni ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CUF, anatarajiwa kuwaongoza wafuasi wa chama hicho katika maandamao hayo licha ya Jeshi la Polisi kuyazuia.
Mbali ya Waziri Duni, maandamano hayo pia yataongozwa na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani