BARAZANI: Waziri atishia kujiuzulu Z’bar
>Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Issa Haji Ussi amesema yuko tayari kuachia nafasi yake endapo itagundulika kauli zake zinadanganya na kushusha utendaji wa Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mbunge CCM atishia kujiuzulu
MBUNGE wa Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Amar (CCM), ametishia kujiuzulu ikiwa serikali haitawawajibisha watendaji wa Wizara ya Maji, na wale wa halmashauri ya wilaya hiyo wanaotuhumiwa kuhujumu mamilioni ya fedha...
10 years ago
Mtanzania24 Sep
Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika
![Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Othman-Masoud-Othman.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
IMANI: Waziri atishia kulifuta Kanisa la Moravian
10 years ago
Vijimambo24 Jan
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Diane Gashumba: Ni waziri wa tatu kujiuzulu nchini Rwanda
10 years ago
GPLZITTO AMTAKA WAZIRI NYALANDU KUJIUZULU AKISHINDWA KUTOA TANGAZO GAZETINI LEO JIONI
10 years ago
Habarileo28 Oct
Waziri- Fedha za kodi zinabaki Z'bar
WAZIRI wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Saada Mkuya Salum amesema fedha zote zinazokusanywa Zanzibar zinazohusu kodi, zinabakia Zanzibar kwa matumizi ya wananchi wake.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Waziri akiri mashine za figo mbovu Z’bar
10 years ago
Mtanzania13 Feb
Waziri wa Z’bar leo kuongoza maandamano ya CUF Dar
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza maandamano yanayofanyika leo jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Waziri wa Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Juma Duni Haji.
Duni ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CUF, anatarajiwa kuwaongoza wafuasi wa chama hicho katika maandamao hayo licha ya Jeshi la Polisi kuyazuia.
Mbali ya Waziri Duni, maandamano hayo pia yataongozwa na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa...