Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKILIZA ALICHOONGEA WAZIRI MUHONGO WAKATI AKITANGAZA KUJIUZULU

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Alichoongea JK wakati akiwaaga mabalozi wa Tanzania

Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za nje wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa siku tatu ulioanza, Dar es Salaam juzi. Picha na Anthony Siame.
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewaaga rasmi mabalozi 36 wa Tanzania katika mataifa mbalimbali akiwaeleza kuwa hatakuwa madarakani baada ya Oktoba.Rais aliwaaga mabalozi hao jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu utakaohitimishwa leo, ambao pamoja na mambo mengine, utajadili ‘Diplomasia ya Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Nape akitangaza kujiuzulu kwa Mwigulu Nchemba

75f2Nape-Nnauye

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (Itikadi na Uenezi), Nape Nnauye.

 

10 years ago

Vijimambo

ALICHOSEMA MWIGULU WAKATI AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi kwenye Ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma alipotangaza nia ya kugombea urais kupitia CCM jana. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dodoma/Dar. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametangaza nia yake ya kugombea urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba akieleza jinsi atakavyoivusha Tanzania kuwa nchi yenye uchumi wa kati utakaopatikana kwa kutoa haki kwa watu wote.Akitangaza nia hiyo jana kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere katika Chuo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Moto wawaka ndani ya Lindi wakati Mheshimiwa Bernard Membe akitangaza nia ya kugombea urais 2015

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono umati wa wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa, wakati alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba. (Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog).

Wananchi wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani