Alichoongea JK wakati akiwaaga mabalozi wa Tanzania
Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za nje wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa siku tatu ulioanza, Dar es Salaam juzi. Picha na Anthony Siame.
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewaaga rasmi mabalozi 36 wa Tanzania katika mataifa mbalimbali akiwaeleza kuwa hatakuwa madarakani baada ya Oktoba.Rais aliwaaga mabalozi hao jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu utakaohitimishwa leo, ambao pamoja na mambo mengine, utajadili ‘Diplomasia ya Tanzania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Vilio na majonzi Singida wakati MO akiwaaga wananchi wake!
Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake kama ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena ubunge wa jimboni humo wakati wa mkutano mkubwa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 10 ya kuwatumikia wananchi wa Singida.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog team, Singida
MBUNGE wa Singida mjini na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji amesema hatagombea ubunge wa jimbo hilo tena baada ya...
10 years ago
Vijimambo24 Jan
10 years ago
MichuziSIKU YA PILI ILIVYOKUWA KWA MABALOZI WAKATI WAKIPANDA MLIMA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s72-c/unnamed.jpg)
MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 May
JK awaaga mabalozi wa Tanzania
11 years ago
Habarileo17 May
Mbunge awatuhumu mabalozi wa Tanzania
MBUNGE wa Viti Maalum, Sabrina Sungura (Chadema) amesema mabalozi wa Tanzania nje ya nchi hawana taaluma ya Diplomasia ya uchumi na wamekuwa wakiteuliwa kisiasa na kwa heshima na hivyo kutowakilisha vyema katika masuala hayo.
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAHUSIA MABALOZI WA TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Waziri Membe awahusia mabalozi wa Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na Waheshimiwa Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali na Wakuu wa Idara/Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Nje. Wengine katika picha hiyo ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Liberata Mulamula. Waziri Membe aliwataka Mabalozi hao kuhakikisha kuwa mafanikio ya kidiplomasia ambayo Serikali ya awamu ya nne...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaofanyika katika hoteli ya Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unajadili kwa kina namna ya kutekeleza dira mpya ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ili kuendana na mabadiliko ya Uchumi na Diplomasia Duniani na kuleta tija nchini.