Mbunge awatuhumu mabalozi wa Tanzania
MBUNGE wa Viti Maalum, Sabrina Sungura (Chadema) amesema mabalozi wa Tanzania nje ya nchi hawana taaluma ya Diplomasia ya uchumi na wamekuwa wakiteuliwa kisiasa na kwa heshima na hivyo kutowakilisha vyema katika masuala hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s72-c/unnamed.jpg)
MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 May
JK awaaga mabalozi wa Tanzania
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAHUSIA MABALOZI WA TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Waziri Membe awahusia mabalozi wa Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na Waheshimiwa Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali na Wakuu wa Idara/Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Nje. Wengine katika picha hiyo ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Liberata Mulamula. Waziri Membe aliwataka Mabalozi hao kuhakikisha kuwa mafanikio ya kidiplomasia ambayo Serikali ya awamu ya nne...
10 years ago
Vijimambo27 May
Alichoongea JK wakati akiwaaga mabalozi wa Tanzania
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2730920/highRes/1020962/-/maxw/600/-/5lnb13z/-/mabalozi.jpg)
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewaaga rasmi mabalozi 36 wa Tanzania katika mataifa mbalimbali akiwaeleza kuwa hatakuwa madarakani baada ya Oktoba.Rais aliwaaga mabalozi hao jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu utakaohitimishwa leo, ambao pamoja na mambo mengine, utajadili ‘Diplomasia ya Tanzania...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaofanyika katika hoteli ya Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unajadili kwa kina namna ya kutekeleza dira mpya ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ili kuendana na mabadiliko ya Uchumi na Diplomasia Duniani na kuleta tija nchini.
11 years ago
GPLMABALOZI WANAOTANGAZA UTALII WA TANZANIA NCHINI MAREKANI WAZAWADIWA
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAUSIA MABALOZI WANAOWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI DUNIANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qqt3fe2ug_I/U7VAfCXcieI/AAAAAAAFulQ/s1PIEDT3gD0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKUTANA NA MABALOZI WA OMAN NA SYRIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qqt3fe2ug_I/U7VAfCXcieI/AAAAAAAFulQ/s1PIEDT3gD0/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FbKmvVZnWTQ/U7VAfYrMVqI/AAAAAAAFulU/INZG50v7WhY/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YAfKnt9U6yg/U7VAffbEWeI/AAAAAAAFulc/UDwYvQwWGKw/s1600/1.jpg)
Makamu Wa Rais wa...