Vilio na majonzi Singida wakati MO akiwaaga wananchi wake!
Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake kama ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena ubunge wa jimboni humo wakati wa mkutano mkubwa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 10 ya kuwatumikia wananchi wa Singida.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog team, Singida
MBUNGE wa Singida mjini na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji amesema hatagombea ubunge wa jimbo hilo tena baada ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 May
Alichoongea JK wakati akiwaaga mabalozi wa Tanzania
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2730920/highRes/1020962/-/maxw/600/-/5lnb13z/-/mabalozi.jpg)
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete amewaaga rasmi mabalozi 36 wa Tanzania katika mataifa mbalimbali akiwaeleza kuwa hatakuwa madarakani baada ya Oktoba.Rais aliwaaga mabalozi hao jana wakati akifungua mkutano wa siku tatu utakaohitimishwa leo, ambao pamoja na mambo mengine, utajadili ‘Diplomasia ya Tanzania...
10 years ago
GPLMAJONZI, VILIO NA SIMANZI VYATAWALA MAZISHI YA SYLVESTRE MARSH JIJINI MWANZA
10 years ago
Vijimambo18 Mar
MAJONZI, VILIO NA SIMANZI VYATAWALA MAZISHI YA SYLVESTRE MARSH JIJINI MWANZA
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RVQHFMVX1AM/VTajSiaUkVI/AAAAAAAAaQw/HbJwNzCMVxs/s72-c/20.jpg)
majonzi yatawala wakati wa kumuaga BIBI MAGDALENA PETRO MAGIGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RVQHFMVX1AM/VTajSiaUkVI/AAAAAAAAaQw/HbJwNzCMVxs/s1600/20.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rn7Eni0937A/VTajQ6pgkFI/AAAAAAAAaQc/_T8HjV3EwI8/s1600/18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nYmSENH9XU/VTajTss_QGI/AAAAAAAAaQ4/Wo8x_kgBdXw/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrpmkIAe59g/VTajaFdK_8I/AAAAAAAAaRw/pentdlC59NQ/s1600/34.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vbocQnQ_MuE/VTajVcJSRdI/AAAAAAAAaRM/Q78C7p2jJws/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s72-c/ukatili%2B1.jpg)
BIBI HUYU AUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 6 KWA KUMTUPA DIRISHANI WAKATI BASI LIKIWA KATIKA MWENDO KASI HUKO SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-if3vY0RplMg/VJaOvdhQLFI/AAAAAAAAFd4/i5SIQY6e7w4/s640/ukatili%2B1.jpg)
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4BsQmB6UDrE/XsU4uixeJmI/AAAAAAALq_s/qrT9yi_YgMkFjMXpPeZdxa0H10Q-eidowCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AMdnGau1HU0/XsU4rm1A_0I/AAAAAAALq_k/8eX19cqr3U4OyMLvUMioNBEepXKh9oI7ACLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
MillardAyo27 Dec
RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake
Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]
The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10