Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yalifunga Bunge

HATIMAYE hofu ya Bunge kuporwa madaraka yake na Mahakama imetimia baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuafiki ombi la Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mvutano mkali Bunge, Mahakama

Kitendo cha Mahakama kufungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria, kimeonekana kuwachanganya viongozi hao ambao wamesema kuwa wanalindwa na sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yajivua mipaka ya Bunge

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imejivua katika mgogoro wa mamlaka ya Bunge la Katiba kuhusu ni kwa kiwango gani bunge hilo lina  mamlaka ya kufanya  marekebisho au kuboresho Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YAKAGUA MAJENGO YA MAHAKAMA

Jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Arusha likiwa katika hatua za awali za ujenzi wake ulioanza Januari 2020. Jengo hili na mengine sita ni majengo yanayojulikana kama Vituo Jumuishi vya utoaji haki yaani yatakayokuwa yakitoa huduma za Mahakama ngazi zote katika jengo moja. Majengo haya yanajengwa katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam.
 Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Majengo wa Mahakama ya Tanzania Mhandishi Khamadu Kitunzi akiwaelezea jambo wajumbe...

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi, ripoti ya Msolla kutikisa Bunge

Spika wa Bunge, Anna Makinda.BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 18, ambao kamati mbalimbali zitaendelea kuwasilisha taarifa kwa ajili ya majadiliano. Licha ya kamati za kisekta na zisizo za kisekta, kabla ya Bunge kuahirishwa wiki hii, pia Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya ardhi, kilimo, mifugo, maji na uwekezaji kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya ardhi, pia itawasilisha taarifa yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeipa kibali Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kufungua kesi ya kupinga Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Mtanzania

Mjadala Mahakama ya Kadhi wazidi kutikisa Bunge

Bunge

Bunge

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Abdallah Mtutura (CCM), amewataka wajumbe wa Bunge hilo ambao ni Waislamu, washirikiane kuipinga Rasimu ya Katiba kama Mahakama ya Kadhi haitaruhusiwa katika Katiba mpya.

Akichangia sura za nne na 10 za Rasimu ya Katiba bungeni mjini hapa juzi, Mtutura alisema kitendo cha baadhi ya wajumbe kuonyesha dalili za kuipinga mahakama hiyo, hakiwezi kukubalika kwa kuwa ni muhimu kwa Waislamu wanaoiamini.

“Mheshimiwa Makamu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mahakama kuu: Bunge Maalumu la Katiba lizingatie rasimu

d6d21-jk1

Na Mwandishi wetu

Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;

1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya maana yake kama ilivyowasilishwa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI MAOMBI YA PINGAMIZI LA KUSIMAMISHA BUNGE LA KATIBA

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo imetupilia mbali maombi ya pingamizi la awali la kusimamisha  Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma, iliyofunguliwa na  Mwandishi wa Habari Said Kubenea, kwa kuwa wametumia kifungu cha sheria kisicho sahihi.
Kadhalika, mahakama hiyo imetupilia mbali pingamizi hilo la awali, kwa kuwa mlalamikaji ametumia kifungu cha sheria namba 2 kidogo cha (2) (JALA) ambacho hakina mamlaka ya kufungua maombi hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani