Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yajivua mipaka ya Bunge

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imejivua katika mgogoro wa mamlaka ya Bunge la Katiba kuhusu ni kwa kiwango gani bunge hilo lina  mamlaka ya kufanya  marekebisho au kuboresho Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mamlaka ya Bunge la Katiba yana mipaka

Kumeibuka hoja inayolenga uwezo wa Bunge la Mabadiliko ya Katiba kwa kuihusisha na Rasimu ya Katiba Mpya iliyowasilishwa kwenye bunge hilo na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Ramadhani aeleza mipaka Bunge la Katiba

>Jaji Mkuu mstaafu, Augustine Ramadhani, amesema Bunge Maalumu la Katiba linabanwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Kifungu cha 25 kufanya mabadiliko makubwa ya Rasimu ya Pili ya Katiba iliyofwasilishwa bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalumu la Katiba liheshimu mipaka yake

>Wakati Bunge Maalumu la Katiba likitarajiwa kuanza kikao chake Jumanne ijayo mjini Dodoma kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya, Jaji Joseph Warioba ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoandaa Rasimu hiyo ametoa angalizo muhimu kwa Bunge hilo kuzingatia kanuni na hadidu za rejea katika kutimiza majukumu yake

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge zingatieni mamlaka, mipaka Bunge Maalumu la Katiba

MCHAKATO wa kupata Katiba ya Tanzania ulianza kwa kutungwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Baadaye kupitia sheria hiyo, tume ya kukusanya maoni ya wananchi ikaundwa kwa ajili ya kukusanya maoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magamba yajivua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hivi sasa kipo katika mapito magumu ya kujiimarisha yanayoenda sambamba na makada wake kujiengua ndani ya chama hicho kwa madai mbalimbali, ikiwamo hofu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Tucta yajivua lawama madai ya walimu

Katibu Mkuu wa Tucta, Nicholaus MgayaSHIRIKISHO la Vyama vya Wafanya kazi (TUCTA) limesema kutokana na madai ya walimu yakiwamo malimbikizo ya fedha za likizo na kupandishwa madaraja kuwa ya muda mrefu, wameamua kila wilaya waende kudai wenyewe kwa wakurugenzi wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yalifunga Bunge

HATIMAYE hofu ya Bunge kuporwa madaraka yake na Mahakama imetimia baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuafiki ombi la Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) la...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvutano mkali Bunge, Mahakama

Kitendo cha Mahakama kufungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria, kimeonekana kuwachanganya viongozi hao ambao wamesema kuwa wanalindwa na sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge.

 

10 years ago

Vijimambo

IPTL:Huku Bunge kule Mahakama

  Majaji wataka mjadala usitishwe
  Bunge lasisitiza mjadala palepaleRipoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa.Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha.Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo bungeni.
Wakati mahakama ikitangaza kuzuia kashfa ya kampuni ya IPTL ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kujadiliwa na Bunge, Spika wa Bunge, Anne Makinda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani