NYUMBA ZAVUNJWA MANZESE KWA UJENZI MPYA
Picha za tukio la eneo lililovunjwa. KAMERA ya mtandao huu wa GPL leo mchana imenasa picha ya baadhi ya nyumba zilizovunjwa maeneo ya Manzese, jijini Dar es Salama, huku watoto wakionekana kufurahia kwa kupata eneo la kuchezea mpira, na wengine kujipatia mabaki ya nondo chakavu na vitu vingine walivyoona vinawafaa.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania08 Aug
Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa
![Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mchungaji-Lwakatare.jpg)
Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare
MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)
SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
11 years ago
Michuzi28 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s72-c/mk3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMEJ96Q2T1Q/XlDeaiq-MKI/AAAAAAAEFJM/kwQBfGHjq_goMw7e7Q1Jh1rumXqNFL0yQCLcBGAsYHQ/s640/mk3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/mk4.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-18Vbd9PNcaE/XvDONno4BfI/AAAAAAACONs/AJebr7BVI3AvaApB9N1cBr6f2eERsIyigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200622_180726.jpg)
CCM YAWAPONGEZA UVCCM KWA KUENDESHA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA WATUMIDHI WA JUMUIYA HIYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-18Vbd9PNcaE/XvDONno4BfI/AAAAAAACONs/AJebr7BVI3AvaApB9N1cBr6f2eERsIyigCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200622_180726.jpg)
CCM Blog, Mbeya
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeipongeza Jumuiya yake ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kufanikisha uendeshaji wa Mradi wa ujnezi wa nyumba za watumishi wa Jumuiya hiyo.
Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, anayesimamia Idara ya Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole wakati wa uzinduzi wa nyumba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s72-c/bangalo%2B2.jpg)
Serikali yaanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-2VCDOZMJXYU/VAhmNF34IaI/AAAAAAAGd68/A8fZSzzf-ww/s1600/bangalo%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5CZ0U3Dtdl4/VAhmO5GnQdI/AAAAAAAGd7I/YShZXbOIhJ0/s1600/bangaloo%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QJIr7rv9Eao/VAhmJFEbH9I/AAAAAAAGd6g/807l5rxpdfE/s1600/M1.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AKAGUA MIRADI YA NYUMBA ZA TBA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo03 Jan
NGUMI ZILIVYOPIGWA MANZESE KATIKA KIPINDI CHA XMASI NA MWAKA MPYA
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Ujenzi wa maabara waleta kizaazaa kwa uongozi mpya Puma
Diwani kata ya Puma wilaya ya Ikungi (CCM) Ramadhani Kulungu, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya kusomwa kwa taarifa ya mapato na matumizi ya michango ya ujenzi wa maabara.
Na Nathaniel Limu, Puma
MWENYEKITI mpya wa serikali ya kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida kupitia CCM,Sifa Joramu Hema, alipata wakati mgumu na hivyo kushindwa kuongoza mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya yeye na wajumbe wake,kutambulishwa kwa wananchi...