Bomoabomoa yakumba nyumba 100
BOMOABOMOA katika Manispaa ya Kinondoni imeendelea jana kwa nyumba takribani 100 kubomolewa kwa watu waishio mabondeni huku waliotakiwa kuhama katika hifadhi za misitu ya mikoko kufanya hivyo ifikapo kesho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Bomoabomoa Dar yakumba makanisa, nyumba 25
CHRISTINA GAULUHANGA NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
BOMOABOMOA ya nyumba na makazi zilizojengwa kinyume cha sheria iliendelea jana katika Wilaya ya Kinondoni, ambapo Kanisa la Anglikana pamoja na Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mivumoni zimekumbwa na bomoabomoa hiyo.
Shughuli hiyo ya ubomoaji ilianza jana saa 12 asubuhi katika eneo la Mbezi Jogoo, ambapo nyumba 25, makanisa mawili, fremu mbili za biashara na sehemu ya kuoshea magari zilibomolewa.
Mbali na kanisa la Aglikana, kanisa jingine ni...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Bomoabomoa yakumba Kanisa la Anglikana Dar
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema
![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-4KTfBRI1VAQ/Xk5mSmBZfSI/AAAAAAAAIIU/OFkDgAU5jvwcmsmi_zrSXgLxAJMcZkjkwCEwYBhgL/s640/1582195948450_IMG-20200218-WA0026.jpg)
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...
11 years ago
BBCSwahili18 May
Mafuriko yakumba mataifa ya Balkan
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Taharuki yakumba Nigeria kabla ya matokeo
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329062040_nigeria_voting_elections_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/30/150330115843_nigeria_election_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Matokeo ya uchaguzi Nigeria yatarajiwa leo
Uingereza na Marekani zimeelezea masikitiko yao kuwa kumekuwa na wizi wa kura, katika uchaguzi mkuu uliomalizika siku ya Jumamosi Nchini Nigeria.
Mwaandishi wa habari wa BBC wa maswala ya Afrika aliyeko Nigeria anasema kuwa hali ni ya wasiwasi katika mji mkuu Abuja.
Katika taarifa ya pamoja, yanasema kuwa wameona dalili za kutiliwa shaka kuwa kumekuwa na uingiliaji wa kisiasa na utaratibu mzima wa uchaguzi mkuu...
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana