Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomoabomoa yakumba nyumba 100

BOMOABOMOA katika Manispaa ya Kinondoni imeendelea jana kwa nyumba takribani 100 kubomolewa kwa watu waishio mabondeni huku waliotakiwa kuhama katika hifadhi za misitu ya mikoko kufanya hivyo ifikapo kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Bomoabomoa Dar yakumba makanisa, nyumba 25

bCHRISTINA GAULUHANGA NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM

BOMOABOMOA ya nyumba na makazi zilizojengwa kinyume cha sheria iliendelea jana katika Wilaya ya Kinondoni, ambapo Kanisa la Anglikana pamoja na Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mivumoni zimekumbwa na bomoabomoa hiyo.

Shughuli hiyo ya ubomoaji ilianza jana saa 12 asubuhi katika eneo la Mbezi Jogoo, ambapo nyumba 25, makanisa mawili, fremu mbili za biashara na sehemu ya kuoshea magari zilibomolewa.

Mbali na kanisa la Aglikana,  kanisa jingine ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yakumba Kanisa la Anglikana Dar

Kanisa la Anglikana la Mtaa wa Kisanga B, Mivumoni Kinondoni, limekumbwa na operesheni ya bomoabomoa inayoendelea Dar es Salaam.     

 

9 years ago

Bongo Movies

Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi

Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.

vunja

Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.

Cloudsfm.com

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi jana ilitekeleza shughuli ya ubomoaji nyumba zilizojengwa kwenye Bonde la Mto Msimbazi na kusababisha vilio na huzuni kutoka kwa wakazi na wamiliki wake.

 

5 years ago

Michuzi

Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema


Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mataifa ya Balkan

Juhudi za kuyadhibiti mafuriko mabaya zaidi ambayo yamewaathiri maelfu ya raia wa mataifa ya balkan zinaendelea.

 

10 years ago

Vijimambo

Taharuki yakumba Nigeria kabla ya matokeo


Mama akipiga kura nchini Nigeria
Matokeo ya uchaguzi Nigeria yatarajiwa leo
Uingereza na Marekani zimeelezea masikitiko yao kuwa kumekuwa na wizi wa kura, katika uchaguzi mkuu uliomalizika siku ya Jumamosi Nchini Nigeria.
Mwaandishi wa habari wa BBC wa maswala ya Afrika aliyeko Nigeria anasema kuwa hali ni ya wasiwasi katika mji mkuu Abuja.
Katika taarifa ya pamoja, yanasema kuwa wameona dalili za kutiliwa shaka kuwa kumekuwa na uingiliaji wa kisiasa na utaratibu mzima wa uchaguzi mkuu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana

Shirikisho la soka nchini Ghana limewataka maafisa wa polisi kuingilia kati baada ya madai ya ufisadi kukumba mmoja wa afisa wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana

Mafuriko yamerudi tena katika mji mkuu wa Ghana ,Accra baada ya saa mbili za mvua kubwa mapema siku ya Ijumaa kulingana na mwandishi wa BBC Sammy Darko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani