Mafuriko yakumba mataifa ya Balkan
Juhudi za kuyadhibiti mafuriko mabaya zaidi ambayo yamewaathiri maelfu ya raia wa mataifa ya balkan zinaendelea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mafuriko yakumba mji mkuu wa Ghana
9 years ago
Habarileo06 Jan
Bomoabomoa yakumba nyumba 100
BOMOABOMOA katika Manispaa ya Kinondoni imeendelea jana kwa nyumba takribani 100 kubomolewa kwa watu waishio mabondeni huku waliotakiwa kuhama katika hifadhi za misitu ya mikoko kufanya hivyo ifikapo kesho.
10 years ago
Vijimambo30 Mar
Taharuki yakumba Nigeria kabla ya matokeo
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329062040_nigeria_voting_elections_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/30/150330115843_nigeria_election_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Matokeo ya uchaguzi Nigeria yatarajiwa leo
Uingereza na Marekani zimeelezea masikitiko yao kuwa kumekuwa na wizi wa kura, katika uchaguzi mkuu uliomalizika siku ya Jumamosi Nchini Nigeria.
Mwaandishi wa habari wa BBC wa maswala ya Afrika aliyeko Nigeria anasema kuwa hali ni ya wasiwasi katika mji mkuu Abuja.
Katika taarifa ya pamoja, yanasema kuwa wameona dalili za kutiliwa shaka kuwa kumekuwa na uingiliaji wa kisiasa na utaratibu mzima wa uchaguzi mkuu...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Bomoabomoa yakumba Kanisa la Anglikana Dar
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Madai ya ufisadi yakumba soka ya Ghana
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Bomoabomoa Dar yakumba makanisa, nyumba 25
CHRISTINA GAULUHANGA NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
BOMOABOMOA ya nyumba na makazi zilizojengwa kinyume cha sheria iliendelea jana katika Wilaya ya Kinondoni, ambapo Kanisa la Anglikana pamoja na Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mivumoni zimekumbwa na bomoabomoa hiyo.
Shughuli hiyo ya ubomoaji ilianza jana saa 12 asubuhi katika eneo la Mbezi Jogoo, ambapo nyumba 25, makanisa mawili, fremu mbili za biashara na sehemu ya kuoshea magari zilibomolewa.
Mbali na kanisa la Aglikana, kanisa jingine ni...
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Taharuki yakumba Jiji la Tanga Polisi wakipambana na majambazi mapango ya Amboni
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi