‘IGP timua askari Msimbazi’
BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!
Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.
Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
10 years ago
Michuzi18 Nov
IGP MANGU AONGEZA ASKARI KITETO
![E88A9486](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9486.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
![E88A9514](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9514.jpg)
9 years ago
Habarileo22 Dec
IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki
MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TRSLPv0SJ1g/VRxTEE0JuwI/AAAAAAAHO3U/hTFXyhMXR2Y/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
IGP MANGU ATOA HESHMA KWA ASKARI WALIOUAWA WILAYANI MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRSLPv0SJ1g/VRxTEE0JuwI/AAAAAAAHO3U/hTFXyhMXR2Y/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9I0pel4wnuE/VRxTELsIKfI/AAAAAAAHO3Y/65FV-2CkjPI/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU IGP AWAJULIA HALI ASKARI WALIOJERUHIWA KATIKA TUKIO LA UVAMIZI KITUO STAKISHARI, UKONGA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s72-c/Slain%2Bpolice.jpg)
IGP MANGU AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM NA PWANI KUAGA MIILI YA ASKARI WALIOUAWA KINYAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s640/Slain%2Bpolice.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Nov
Mbunge: Rais timua ma-DED wabadhirifu
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi mara moja wakurugenzi wote wa halmashauri, ambao wamefuja fedha zilizopaswa kutolewa mikopo kwa vijana na wanawake kwa lengo la kuwakomboa kiuchumi.