Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!

Manchester-United-Press-ConferenceVan Gaal

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.

Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha

Timua timua ya makocha ndani ya Yanga imeibua ufisadi wa zaidi ya Sh3 bilioni ndani ya klabu hiyo huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘IGP timua askari Msimbazi’

BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge: Rais timua ma-DED wabadhirifu

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi mara moja wakurugenzi wote wa halmashauri, ambao wamefuja fedha zilizopaswa kutolewa mikopo kwa vijana na wanawake kwa lengo la kuwakomboa kiuchumi.

 

9 years ago

MillardAyo

Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi yake …

Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea. Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea […]

The post Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi...

 

9 years ago

StarTV

Chacharito aondoka Man United,Unajua Timua aliyotimkia Soma hapa.

Javier Hernandez akiwa na Mkurugenzi wa Usajili wa Bayer Leverkusen, Rudi Voller baada ya kukamilisha uhamisho wake leo  TIMU ALIZOCHEZEA JAVIER HERNANDEZ Guadalajara (2006-10, mechi 80 mabao 29) Manchester United (2010-2015 mechi 157 mabao 59 Real Madrid (2014-15 mkopo mechi 33 mabao 9 Bayer Leverkusen (2015- ) MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Javier Hernandez amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 12 kwenda kwa vigogo wa Bundesliga, Bayer Leverkusen. Hernandez alitua...

 

9 years ago

MillardAyo

Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …

Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]

The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kipigo, Van Gaal ajifukuza kabla ya kufukuzwa

louis-van-gaal_1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal (pichani) ambaye kibarua chake kipo katika kipindi kigumu kufuatia kipigo cha goli 2 kwa bila kutoka kwa Stoke City amesema anafikiri anatakiwa kuacha kibarua cha kuinoa klabu hiyo.

Akiwa katika wakati mgumu wa hatma ya kibarua chake Van Gaal ameshudia timu yake ikifungwa goli 2 kwa bila na kuwa mchezo wa 7 kufungwa kwa msimu huu na kikiwa kipigo cha kwanza ndani ya miaka 54 Manchester United kufungwa siku ya Boxing Day...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya kutojumuishwa katika timu ya taifa ya Uholanzi, Van Gal naye amtoa kikosini Depay kwenye mchezo wa UEFA

Winga wa Manchester United, Memphis Depay

Winga wa Manchester United, Memphis Depay.

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume

Winga wa klabu ya Manchester United, Mholanzi Memphis Depay amekuwa na wakati mgumu katika kipindi hiki cha karibuni kutokana na kudaiwa kushuka kiwango jambo lililomfanya kocha wake Louis Van Gaal kuwa akimweka benchi na nafasi yake ikichukuliwa na kijana mwenzake, Mfaransa Antony Martial.

Kama hilo halitoshi jana nchini Uholanzi yametangazwa majina ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani