Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chacharito aondoka Man United,Unajua Timua aliyotimkia Soma hapa.

Javier Hernandez akiwa na Mkurugenzi wa Usajili wa Bayer Leverkusen, Rudi Voller baada ya kukamilisha uhamisho wake leo  TIMU ALIZOCHEZEA JAVIER HERNANDEZ Guadalajara (2006-10, mechi 80 mabao 29) Manchester United (2010-2015 mechi 157 mabao 59 Real Madrid (2014-15 mkopo mechi 33 mabao 9 Bayer Leverkusen (2015- ) MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Javier Hernandez amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 12 kwenda kwa vigogo wa Bundesliga, Bayer Leverkusen. Hernandez alitua...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!

Manchester-United-Press-ConferenceVan Gaal

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.

Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha

Timua timua ya makocha ndani ya Yanga imeibua ufisadi wa zaidi ya Sh3 bilioni ndani ya klabu hiyo huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa

adiddas

Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.

Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa

manchester-united-vs-chelsea-850x560

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.

Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.

Manchester United...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …

Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka Man United kama wachezaji hawatomtaka aendelee kuwepo. Stori za uchunguzi au tetesi zilikuwa nyingi kuwa Louis van Gaal hapatani na wachezaji wake. ila December 16 […]

The post Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa … appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

Man United yatupwa nje UEFA, matokeo ya michezo mingine ipo hapa na ratiba ya michezo ya leo jumatano

jesse-lingard-memphis-depay-manchester-united-champions-league-wolfsburg-dejected_3386314

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United wakitoka uwanjani kwa udhuni baada ya kumalizika kwa mchezo huo  hiyo jana..

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana kwa michezo ya mwisho ya hatua ya makundi kwa makundi manne na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Paris Saint-German 2 – 0 Shakhtar Donetsk

Real Madrid 8 – 0 Malmo

GROUP B;

Wolfsburg 3 – 2 Manchester United

PSV Eindhoven 2 – 1 CSKA Moscow

GROUP C;

Benfica 1 – 2 Atletico Madrid

 

10 years ago

BBCSwahili

Je umetoboa sehemu za siri?soma hapa.

Wanawake wote walioamua kupamba sehemu zao za siri kwa kuzitoboa wanachukuliwa kuwa wamepitia ukatili wa kijinsia ama wamekeketwa.

 

10 years ago

GPL

MMESHINDWA KUPATA WATOTO? SOMA HAPA

Hashim Aziz Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wa safu hii uko poa na unaendelea na majukumu yako ya kila siku. Wiki iliyopita tulihitimisha mada ya namna ya kuishi na mwenzi wako akiwa mjamzito. Hata hivyo, baadhi ya wasomaji wangu waliniomba pia tujadiliane kuhusu namna ya kuishi katika uhusiano wa kimapenzi ambao umeshindwa kuleta watoto. Kwa kuwa nakujali msomaji wangu, leo nimeamua kuiweka mezani mada hii. ...

 

9 years ago

GPL

UNATAKA KUZAA MAPACHA? SOMA HAPA-2

Leo namalizia kuwaletea makala haya yanayohusu elimu mpya ya uzazi, mwanamke yeyote anaweza kupata ujauzito wenye watoto mapacha hata kama si asili ya ukoo wake, ungana nami sehemu ya mwisho. WENYE TABIA HII NDIYO WANAONGOZA Wanawake wengi wanaoongoza kwa kushika mimba za mapacha ni wale ambao wakati wa kulala wanabadili staili mara kwa mara.Mara nyingi inashauriwa kuwa, mwanamke akishaingia kwenye siku zake za hatari kulingana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani