Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa

adiddas

Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.

Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa

manchester-united-vs-chelsea-850x560

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.

Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.

Manchester United...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS

Taifa Stars wakiwa ndani ya uzi mpya wa Adidas. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo. Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya Adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia...

 

9 years ago

MillardAyo

Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …

Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]

The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

StarTV

Chacharito aondoka Man United,Unajua Timua aliyotimkia Soma hapa.

Javier Hernandez akiwa na Mkurugenzi wa Usajili wa Bayer Leverkusen, Rudi Voller baada ya kukamilisha uhamisho wake leo  TIMU ALIZOCHEZEA JAVIER HERNANDEZ Guadalajara (2006-10, mechi 80 mabao 29) Manchester United (2010-2015 mechi 157 mabao 59 Real Madrid (2014-15 mkopo mechi 33 mabao 9 Bayer Leverkusen (2015- ) MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Javier Hernandez amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 12 kwenda kwa vigogo wa Bundesliga, Bayer Leverkusen. Hernandez alitua...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …

Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka Man United kama wachezaji hawatomtaka aendelee kuwepo. Stori za uchunguzi au tetesi zilikuwa nyingi kuwa Louis van Gaal hapatani na wachezaji wake. ila December 16 […]

The post Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa … appeared first on...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MANCHESTER UNITED UNVEIL NEW ADIDAS 2015/16 HOME KIT IN A £750 MILLION DEAL

Manchester United have unveiled their new Adidas home kit and it is reminiscent of their shirts of the 1980s.
It is the first strip made by the German sportswear manufacturer since they signed a 10-year partnership with the Premier League giants last summer, taking over from Nike.The shirt costs £60 from the club's official online megastore on Saturday, with a kids' shirt priced at £50. A baby kit is £35.

Adidas designer Inigo Turner said in a statement on the club website: "We have aimed to...

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu watoa ya moyoni

WATU wenye ulemavu wameomba vyama vya siasa kutowachanganya na wasio na ulemavu kwenye kura za maoni kwa ajili ya kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa kutokana na ugumu wanaopata katika kushinda nafasi hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi watoa ya moyoni

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.

 

11 years ago

Habarileo

Waasisi Zanzibar watoa ya moyoni

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein (katikati) akiungana na viongozi, wananchi katika kisomo cha hitma iliyosomwa jana Ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar. Wengine ni Rais Jakaya Kikwete, Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume, Makamu wa Rais wa Tanzania Dk Bilal, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi. (Picha na Ramadhan Othman).MKE wa marehemu Abeid Amaan Karume, Mama Fatma Karume aliwataka vijana kuyaenzi Mapinduzi ya mwaka 1964 kwa kuacha chuki za ukabila, kidini ambazo zinaweza kuleta mgawanyiko wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani