Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa
Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.
Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.
Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.
Manchester United...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …
Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]
The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
StarTV01 Sep
Chacharito aondoka Man United,Unajua Timua aliyotimkia Soma hapa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-R_ZrmQ5OKcs/VeSzuATnQVI/AAAAAAABnMQ/3sbrEMH2M2M/s640/2BDA60E300000578-3217039-Javier_Hernandez_poses_with_Bayer_Leverkusen_sporting_director_R-a-10_1441041129702.jpg)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …
Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka Man United kama wachezaji hawatomtaka aendelee kuwepo. Stori za uchunguzi au tetesi zilikuwa nyingi kuwa Louis van Gaal hapatani na wachezaji wake. ila December 16 […]
The post Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa … appeared first on...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-TlpRpFVOdNE/Vby7uGMZQZI/AAAAAAAADD4/-eF657WhlMQ/s72-c/BDD8A9B5477F41A787480BA09EEE7D48.jpg)
MANCHESTER UNITED UNVEIL NEW ADIDAS 2015/16 HOME KIT IN A £750 MILLION DEAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-TlpRpFVOdNE/Vby7uGMZQZI/AAAAAAAADD4/-eF657WhlMQ/s640/BDD8A9B5477F41A787480BA09EEE7D48.jpg)
It is the first strip made by the German sportswear manufacturer since they signed a 10-year partnership with the Premier League giants last summer, taking over from Nike.The shirt costs £60 from the club's official online megastore on Saturday, with a kids' shirt priced at £50. A baby kit is £35.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fme3te4rMHc/Vby6JH6PrHI/AAAAAAAADDs/G8bzOif7tAA/s640/Manchester-Kit.jpg)
10 years ago
Habarileo12 Aug
Wenye ulemavu watoa ya moyoni
WATU wenye ulemavu wameomba vyama vya siasa kutowachanganya na wasio na ulemavu kwenye kura za maoni kwa ajili ya kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa kutokana na ugumu wanaopata katika kushinda nafasi hizo.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Raia wa Burundi watoa ya moyoni
11 years ago
Habarileo08 Apr
Waasisi Zanzibar watoa ya moyoni
MKE wa marehemu Abeid Amaan Karume, Mama Fatma Karume aliwataka vijana kuyaenzi Mapinduzi ya mwaka 1964 kwa kuacha chuki za ukabila, kidini ambazo zinaweza kuleta mgawanyiko wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.