Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …

Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]

The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16


Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.

 

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO 2015/16

Imekuwa utamaduni wa klabu mbalimbali barani ulaya kuzindua jezi mpya kila msimu ambapo jezi hizi huingia sokoni na kuuzwa kwa mashabiki wa klabu husika huku klabu hiyo ikijiingizia kipato ambacho husaidia kwenye uendeshaji wa shughuli zake .Manchester United inatarajiwa kuzindua jezi mpya siku za hivi karibuni ambapo zitakuwa jezi ambazo zimetengenezwa na mdhamini mpya wa klabu hii ambaye ni Adidas . Adidas wameingia mkataba na United baada ya klabu hiyo kumaliza mkataba wake wa muda mrefu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa

adiddas

Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.

Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...

 

10 years ago

GPL

MAN U YATAMBULISHA RASMI JEZI ZAKE  MPYA

Klabu ya Manchester United imekuwa miongoni mwa klabu ambazo zimetambulisha jei zao leo zitakazotumiwa kwa ajili ya msimu ujao. Klabu hiyo imevunja rekodi kwa kuwa ni klabu inayoingiza kipato kikubwa cha pesa duniani kutokana na utengezaji wa jezi . Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike, Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto amuibia nyanyake na kuwashangaza wengi

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 alimuibia nyanyake maelfu ya dola kisha kukodi taxi kumpeleka eneo la mbali kukutana na kijana ambaye walikuwa wakiongea naye tu kupitia mtandao wa Internet.

 

5 years ago

Africanjam.Com

ENGLISH PREMIER LEAGUE "EPL" SCHEDULE/CALENDAR THE WHOLE SEASON 2016/2017

13 August 2016 (Matchweek 1)AFC Bournemouth v Manchester United    #BOUMUN

Arsenal v Liverpool    #ARSLIV
Burnley v Swansea City    #BURSWA
Chelsea v West Ham United    #CHEWHU
Crystal Palace v West Bromwich Albion    #CRYWBA
Everton v Tottenham Hotspur    #EVETOT
Hull City v Leicester City    #HULLEI
Manchester City v Sunderland    #MCISUN
Middlesbrough v Stoke City    #MIDSTK
Southampton v Watford    #SOUWAT20 August 2016 (Matchweek 2)Leicester City v Arsenal    #LEIARS
Liverpool v Burnley   ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani