Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JEZI MPYA YA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO 2015/16

Imekuwa utamaduni wa klabu mbalimbali barani ulaya kuzindua jezi mpya kila msimu ambapo jezi hizi huingia sokoni na kuuzwa kwa mashabiki wa klabu husika huku klabu hiyo ikijiingizia kipato ambacho husaidia kwenye uendeshaji wa shughuli zake .Manchester United inatarajiwa kuzindua jezi mpya siku za hivi karibuni ambapo zitakuwa jezi ambazo zimetengenezwa na mdhamini mpya wa klabu hii ambaye ni Adidas . Adidas wameingia mkataba na United baada ya klabu hiyo kumaliza mkataba wake wa muda mrefu...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16


Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND 2015/16: Je, msimu ujao mabingwa ni Arsenal au Manchester United?

>Baada ya wiki iliyopita Manchester United na Arsenal kutoka sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford, timu hizi zilionyesha kwamba haziwezi kuitoa Manchester City katika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu England huku zikiwa zimeishakubali Chelsea kuwa bingwa.

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAMINI WA JEZI: Manchester United yaendelea kutesa duniani

Hivi karibuni Klabu ya Chelsea iliingia mkataba wa udhamini katika jezi za timu hiyo na kampuni ya matairi ya Yokohama ya Japan, hivyo kuwa kati ya timu mbili za juu barani Ulaya zenye udhamini mkubwa.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

MillardAyo

Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …

Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]

The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

De Gea asaini mkataba mpya Manchester United

David de Gea baada ya kuona ndoto zake za kuhamia klabu ya Real Madrid zimekwama baada ya siku ya mwisho ya uhamisho amemua kukubali tu ya ishe na sasa amesaini mkataba wa miaka minne Manchester United. David de Gea akiwasili katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United Mlinda mlango, 24, alifanya mazungumzo baada ya uhamisho […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

MANCHESTER UNITED PLAYERS' SALARIES AND CONTRACTS 2015/2016


Manchester United current wage bill is the highest in premier league with £214 million a year, followed by Man Citys £206.5 million. United’s highest paid player is Wayne Rooney
who earns massive £300,000 a week but with the departure of Van Persie and Rademal Falcao both pocketing £250,000 a week will get the wage bill down plus Angel Di Maria who also has a lucarative £175,000 a week contract might leave the club in summer 2015.



Here is how Manchester United are doing in terms of finance...

 

10 years ago

Africanjam.Com

VIDEO: MANCHESTER UNITED 3 - 0 SUNDERLAND (All Goals and Highlights 2015)




Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani